Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
Mamy Sijui hata tiba ni ipi, nasali tuu...Aisee pole mama umefanikiwa kupata tiba?
Madame S
Amen ubarikiwe tena na tena.Nitamshkuru Bwana kwa moyo wangu wote, nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu
Nitafurahi na kukushangilia wewe, nitaliimba jina lako, wewe uliye juu![]()
ZABURI 9:1-2
MBARIKIWE SANA MUWE NA ASUBUHI ILIYO NJEMA![]()
![]()
Nisamehe mamyBaba D utani mwingi ujue si mzuri usitake kuniua ghafla
Kisa nini shemAbee
Usiku mwema
Baba D jamaan sasa me nimefanana nayo nini hiyo avatar na ukibonge huu nilionaoIla shunie mama D yaan ulivomrembo wangu ndo unavopatia kunikoshaa na avatar....hiyo unanifanya niishii kwa wasiwasi make haina tofauti na u cute wako ...
Wewe shuny wewe ...nakupendaa



MamyM waitin!
Madame S
Hapana ruka kichura chura kwanza ndio nikusamehe dadaNisamehe mdogo wangu
Ulale unono usisahau kusali dada na kukemeaHalafu wewe..
Naomba nilale


Kwa hivi nilivyo nitakufwaa, labda umenichoka eehHapana ruka kichura chura kwanza ndio nikusamehe dada
OyeeeeeeVibonge oyee
Au ni anxiety??Mamy
Ni jana ujue ndo niliona hilo kwa mara ya kwanza it's like kuna kitu naogopa lakinii sikielewi... Niko worried most of the time
Uzuri wako naujua mimiBaba D jamaan sasa me nimefanana nayo nini hiyo avatar na ukibonge huu nilionao![]()
Nimekupm baba dUzuri wako naujua mimi
NakupigiaaaNimekupm baba d