Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,642
Congrats Happiness Mages
Kweli tusikate tamaa katika maisha
....
Congrats Happiness Mages
Nilipanga kumrusha huyu jamaa pamoja na Ginuwine mwisho wa mwezi, Twisted was a bomb but kwanini haitokuwa too little tukipata Nobody
Hata wewe pacha?!Jitahidi umpeleke husna muba ili akajionee live maana hamna namna saaa
Ni shida sanaDuuh kichwa cha mwendawazimu kinachosha
Ila najua chizi huwa haponi bali anatuliza mzima tu
kila la kheri
.....
Sana bila hivyo hawauziMagazeti ya udaku yanatafuta wateja kwa nguvu
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
.....
NiajeHabarini za Asubuhiiii...
![]()
![]()
:
Aliwafungia majogoo goli 71
Hakuwa na mpira wa kuremba
.....
Niaje
Pamoja sana ankaliAsante kwa magazeti ankali
Wasikuzengueeeemiaka 26 mm mdogo eeeh
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]Ayaaaaa Nitakuitia Nchukuma ndio komesha yako na Husna ndo anakuweza...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ubajipima==Unajipima..
Leo ni mwendo wa kukukosoa tu..
Kweli maana na nilivyokalia mnazi pensi limebana miguu inaonekana kama misukumio ya chapati.
Naww utoe hiyo unaonekana unakutambi kama la le mutux
Mi husna Wa mpendwa/mpenzi wangu bitoz ni just friend
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kaombe kazi Shilawadu maana sio kwa ufukunyuku huo..
Hiyo ni Nembo ya Timberland
[emoji4] [emoji4] [emoji4]Hi obe whatever you're...!
I dedicate "charlie puth ft selena gomez-we don't talk any more" to be dedicate to my self.
It's my favourite song.......
post using my macbook air using jamiiforums app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jamanii ni timberland hiyoo hafu hilo likofia hata sikujua kama ni matairi
Kutoka ulinzi hadi u USA babyHe he life's too short bana jichekee tu mzungu wetu mwenyewe mzee wa usa baby no stress hapa umeshuka mwenyewe shedede kutoka kwa ras simba
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ha ahhahahaha, huyu muzungu wetu anawezana tu na Tumosa maana ndo watatuongelesha kiinglish kama walitupeleka shule za waroma
Inakuwa km rehema vilee[emoji4] [emoji4]Aaaaah niite Mond hiyo ray hiyo