Ankali wako leo katisha
Morning hubbyMorning all kapuku
Katisha sanaAnkali wako leo katisha
Asante baba watoto barikiwa[emoji120] [emoji120] [emoji120]View attachment 547786Nawatakieni wote siku njema
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Asante baba watoto barikiwa[emoji120] [emoji120] [emoji120]
Asante kwa magazeti ankaliView attachment 547786Nawatakieni wote siku njema
Siasa inahitaji kujitoa sana kwenye dunia hii iliyojaa visasiKabla ya uvamizi nilikuwa Republican supporter na pro western basi baada ya uvamizi ule nilitafakari na kuamua kwamba siasa haitachukua sehemu kubwa ya maisha yangu, maana niliona jinsi watu wasio na hatia wakiuliwa bila sababu za msingi, maendeleo yakisisima na mengine mengi.