Makapuku Forum

Makapuku Forum

9/Calvin Cordozar Breadus Jr
14cb8ea86b3c8ec868b6e0c0b6c81c80.jpg
f3a76d4639e2ba7cc22e2d0da779ec43.jpg
dd18b79617066ca08bf3654df5288aca.jpg
Anajulikana kama Snoop Dogg
Ana tabia kibao za kikorofi pia ana watoto kibao...jamaa anapenda bangi kupitiliza

Ana umri wa miaka 42
Anaingiza mkwanja kutokana na biashara zake nje ya muziki ikiwemo kampuni ya filamu iitwayo Wash and Bones,pia ana kampuni ya mavazi n.k
Ana utajiri unaofikia USD 110 milioni
........

Anapenda bangi kupitiliza kila mtu na chaguo lake hongera zake aisee
 
8/Kanye Omari West
182947991fbfcc9bf93b10f3f63adfd0.jpg
75847a696d5ef18f39baeef8eafa4e51.jpg
ec587910b5256e4a9db75854a0ccc889.jpg
Abapendelea kujiita Yeezus
Ana umri wa miaka 36
Ndiye kidume wa Kim Kardashian na baba mzazi wa North West na pia wana mwingine na haitarajiwi kuongeza kutokana na matatizo ya kiafya ya Kim
Anaingiza pesa kutokana na mikataba aloyosaini na makampuni makubwa kama bile Nike,Adidas na Louis Built on
Pia anajishughulisha na biashara kibao
Ana mkawanja unaokadiriwa kuwa USD 110 milioni
..........
 
7/Percy Robert Miller[,/b]
9c404bafe4aa9a45fbeca984a4feba4e.jpg
95d256b8d59b451356679124249cfd56.jpg
62b99a6c5abf6654a0dc599c3166716b.jpg
Anajuliksna pia kwa jina la Master P alikuwa akijishughulisha sana na uprodyuza
Huyu ni Master P na siyo yule adui wa Zay B aitwaye Sister P
Ana biashara kibao
Pia anatoa hisani ya chakula kupitia P Miller Food Foundation
Ana umri wa miaka 44
Utajiri wake ni USD 170 milioni
...........
 
7/Percy Robert Miller[,/b]
9c404bafe4aa9a45fbeca984a4feba4e.jpg
95d256b8d59b451356679124249cfd56.jpg
62b99a6c5abf6654a0dc599c3166716b.jpg
Anajuliksna pia kwa jina la Master P alikuwa akijishughulisha sana na uprodyuza
Huyu ni Master P na siyo yule adui wa Zay B aitwaye Sister P
Ana biashara kibao
Pia anatoa hisani ya chakula kupitia P Miller Food Foundation
Ana umri wa miaka 44
Utajiri wake ni USD 170 milioni
...........
[/b][/b]
Hivi ni huyu ndio ana mtoto wake nae ni mwanamuziki
 
Nikishika Dollar mia natambaa wakati wengine wana mamilioni!..
Eti ni Sawa na shingap hizo kwa pesa za koroma
8/Kanye Omari West
182947991fbfcc9bf93b10f3f63adfd0.jpg
75847a696d5ef18f39baeef8eafa4e51.jpg
ec587910b5256e4a9db75854a0ccc889.jpg
Abapendelea kujiita Yeezus
Ana umri wa miaka 36
Ndiye kidume wa Kim Kardashian na baba mzazi wa North West na pia wana mwingine na haitarajiwi kuongeza kutokana na matatizo ya kiafya ya Kim
Anaingiza pesa kutokana na mikataba aloyosaini na makampuni makubwa kama bile Nike,Adidas na Louis Built on
Pia anajishughulisha na biashara kibao
Ana mkawanja unaokadiriwa kuwa USD 110 milioni
..........
 
6/Marshall Bruce Matters III
8c8723a11b885da75a47363d6203ccc4.jpg
eb9ef3fca38146e60e6309533df37817.jpg
1fa056832526a1d7e39a887b0b82e08a.jpg
Anajulikana pia kama Eminem au Slim Shady.... ana umri wa miaka 41
Anasifika kwa tabia yake ya ukorofi hata kwenye video za nyimbo zake

Inakadiriwa kuwa na utajiri wa USD 190 Milioni
.......
 
Back
Top Bottom