Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,117
![]()
![]()
Nobody
......
Handsome
![]()
![]()
Nobody
......
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binamu mfyuuuu zako
How are you?[emoji15]
Kaka yangu mond naona unataka kunivurugia sasaaUkweli tunausema tuuu Korosho/Mabibo boy anamchukua..
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]nini kimewachekesha nyie mume na muke? mnanicheka kwani nimevaa nyanyapensi?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kweliiii mke mwee mambo ya kupenda mahb haya mwisho wa siku unakuja kushangaa wote wanawake
Leo katika Historia
2003 - Qusay Hussein anauwawa.
Huyu pia ni mtoto mwingine wa Saddam Hussein.
Aliuwawa pamoja na ndugu yake Uday katika mapambano yaliyochukua takribani masaa matatu huko Tikrit nchini Iraq.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]...nilivyokuona ulivyo mpole nikajua hufanyagi😀
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]...,, uzuri wake mama Ashura hana makuu, eti sijui akutoze hela nyingi, walaa, wewe mnunulie zile mambo nazopendaga mimi unabaki ku-shanga-a. nunua hata 50 hivi zile zenye rangi ya kumwekamweka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji85] [emoji85] [emoji85] unafikiri Shululu kaka angu
Leo katika Historia
Leo ni siku ya mapinduzi nchini Gambia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Naipenda sana kuanzia J3 hadi Alhamisi, Ijumaa tusiamkiane hii Salam huwa niko maeneo muhimu.
Mjomba wangu akisalimiwa hiyo Salam huwa anajidai hatokei nchi hi
Ww mwanamke hutunzi siriUkifungwa saasa unanyweeea km kuku kanyeshewa na mvua
Siku ile ulipolia eti kisa refa kakataa goli kasema ni off side ulinichekesha sana
Hakuna mapost mengiHabari zenu bandugu
Natumai mko poa km kawaida huwa naanziaga nilipoishiaaa
Magazeti ya udaku yanatafuta wateja kwa nguvuView attachment 547786Nawatakieni wote siku njema
Huyo hakutua na ungo
Kweli sikio la teja halisikii dawa
Duuh kichwa cha mwendawazimu kinachosha