Makapuku Forum

Makapuku Forum

e2b2a7628892db0d6660717d451658a4.jpg
ac5a17068aa7a3a3cfae69579d8a2af3.jpg
e16367145a5da672160f8e73aec42a05.jpg

Yeye pamoja na akina Pretty boy Floyd na Baby face Nelson waliisumbua sana Marekani
Ila Mkurugenzi wa FBI Edgar J Hoover akafanikiwa kuwatuliza kimyakimya mmoja baada ya mwingine
......
Duu
 
Hakuna mapost mengi
Yaani tambarareeee
Lee ana majukumu yamembana pia wengi wapo bize kutafuta mawe
Hakuna Sakayo
Hakuna Lee
T anaingia kwa kusuasua
Tumusa nae kwa kuvizia
Nyagei hasomeki
Shumie ana mida yake
Mama Mchungaji sijui kapatwa na mini
Mukongo nasikia kapata mzungu kwenda Ulaya
Shedele labda katekwa na mtu yule
Mzee wa kungoa labda keshangoa demu humu now kapotea
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hivyo wiki hii ni ya ubize
......
Poa nishamaliza kupitia viporo pa kucheka pa kusmile [emoji4] na mm nikaangusha langu basi

Kapuku frm ni buruuudani mworooooro kabisaa ndio maana huwa sipendagi kupitwa na kitu

Hujachinja bata nije kunywa supu??!!
 
Poa nishamaliza kupitia viporo pa kucheka pa kusmile [emoji4] na mm nikaangusha langu basi

Kapuku frm ni buruuudani mworooooro kabisaa ndio maana huwa sipendagi kupitwa na kitu

Hujachinja bata nije kunywa supu??!!
Baadaye bhana
Wasipoibuka tupotee & tupumzike tu kwa raha zetu hadi jioni/usiku

Week end njema
.......
 
Back
Top Bottom