Makapuku Forum

Makapuku Forum

Afadhali umebadilisha avatar
Uwe ubajipima kabla ya kuweka
Zingine zitakutibulia si unajua Jf kumejaa vichaa
....
Ubajipima==Unajipima..
Leo ni mwendo wa kukukosoa tu..

Kweli maana na nilivyokalia mnazi pensi limebana miguu inaonekana kama misukumio ya chapati.
Naww utoe hiyo unaonekana unakutambi kama la le mutux
 
3/Shawn Corey Carter
f733fef3f51424e86087f5c5d33ead7b.jpg
6752ec2e4489442da7f94a74603b83c8.jpg
0f7825c030676b0b6d4e18de8ab031b3.jpg
Ana umri wa miaka 44
Aanajulikana zaidi kama Jay Z
Ndiye mume wa Beyonce Knowles na baba mzazi wa Blue Ivy ila pia wanatarajia kupata watoto mapacha muda wowote
Ana dili kibao anazopiga pamoja na mkewe :

Inakadiriwa kuwa na utajiri wa USD 500 Milioni
..........
 
2/Sean John Combs
ad99d69a871b9472e9fef2935cdd6106.jpg
7248361385d50a79c64bece80ee8dc62.jpg
013abf20475c9d2722ef23d737b24458.jpg
3427af6e918a4e1758edacbc21860f17.jpg

Ana umri wa miaka 44 anajulikana zaidi kama P Diddy
Enzi hizo wakati damu ikimchemka na akijiita Puff Daddy alikuwa akitoka kimapenzi na Jennifer Lopez ila walishindwana na kumwagana kisha akapata mwanamke mwingine
Anamiliki kampuni kibao ikiwemo ya mavazi iitwayo Sean John
Anamiliki pia studio
:
Ana utajiriunaofikia USD 630 Milioni
.....
 
1/Andre Romelle Young
bfe00a6ac2aca64b192cf9d20ca1c24a.jpg
1d90aca69f620db62c7a061783b69cc1.jpg
bb80c029189e7f6cec64fa5ed15fa7f6.jpg
Huyu jamaa huko kwa Trump nu kama Mkubwa Fella wasanii kibao wamepitia kwake
Ni prodyuza abayefahamika kwa jina la Dr Dre... jamaa kweli ni daktari wa muziki
Ana umri wa miaka 49
Anamiliki studio na vitega uchumi kibao

Ana utajiri wa USD 790 Milioni
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane Jumatatu
Mwisho
.............
 
8/Kanye Omari West
182947991fbfcc9bf93b10f3f63adfd0.jpg
75847a696d5ef18f39baeef8eafa4e51.jpg
ec587910b5256e4a9db75854a0ccc889.jpg
Abapendelea kujiita Yeezus
Ana umri wa miaka 36
Ndiye kidume wa Kim Kardashian na baba mzazi wa North West na pia wana mwingine na haitarajiwi kuongeza kutokana na matatizo ya kiafya ya Kim
Anaingiza pesa kutokana na mikataba aloyosaini na makampuni makubwa kama bile Nike,Adidas na Louis Built on
Pia anajishughulisha na biashara kibao
Ana mkawanja unaokadiriwa kuwa USD 110 milioni
..........

Mnyamwezi huyo!
 
4/Curtis James Jackson III
7d4dd499f684e7108ae2a940f81948a6.jpg
dcadebd80d30fba9412538ef84fcc37e.jpg
801c59acd497cc7c177e8eba440a8c60.jpg
Nani asiyemfahamu huyu Mswahili? Anajiita 50 Cent ila ana miliki dola badala ya vijisenti vya Change anavyotusumbilia wabongo
Ana umri wa miaka 38
Utotoni alikulia katika umaskini uliotopea ikiwemo kulelewa na bibi yake.
Anewahi kutandikwa risasi lakini akapona.
Ana dili kibao za kuvutia mpunga
Ana utajiri wa USD 240 Milioni
......

Huyu tetesi zinasema anafilisika
 
3/Shawn Corey Carter
f733fef3f51424e86087f5c5d33ead7b.jpg
6752ec2e4489442da7f94a74603b83c8.jpg
0f7825c030676b0b6d4e18de8ab031b3.jpg
Ana umri wa miaka 44
Aanajulikana zaidi kama Jay Z
Ndiye mume wa Beyonce Knowles na baba mzazi wa Blue Ivy ila pia wanatarajia kupata watoto mapacha muda wowote
Ana dili kibao anazopiga pamoja na mkewe :

Inakadiriwa kuwa na utajiri wa USD 500 Milioni
..........

Watoto wameshazaliwa aiseee
 
Back
Top Bottom