Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,384
- 110,094
Ubajipima==Unajipima..Afadhali umebadilisha avatar
Uwe ubajipima kabla ya kuweka
Zingine zitakutibulia si unajua Jf kumejaa vichaa
....
Leo ni mwendo wa kukukosoa tu..
Kweli maana na nilivyokalia mnazi pensi limebana miguu inaonekana kama misukumio ya chapati.
Naww utoe hiyo unaonekana unakutambi kama la le mutux