Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,223
- 16,902
ki JF hapa ni nyumbani upendo niliyoupata hapa na maisha niliyoishi hapa sikuwahi kupata ktk jukwaa lolote
nitapotea kwa kipindi tu, si kwa muda wote
nawapenda wote
usiku mwema wanafamilia
ki JF hapa ni nyumbani upendo niliyoupata hapa na maisha niliyoishi hapa sikuwahi kupata ktk jukwaa lolote
ki JF hapa ni nyumbani upendo niliyoupata hapa na maisha niliyoishi hapa sikuwahi kupata ktk jukwaa lolote
Ntafikiria ombi lakoAhsanteeeeee mama mawaini.. Na ww ubadirishe basi huo msuko na kibrauzi vimeshapitwa na wakati..
Ndio hivyoUshasema tetesi
Ila akifilisika haishangazi
Ana tabia za kiswahili km Floyd Mayweather Jr
........
Leo katika Historia
1961 - Keith Sweat anazaliwa.
Ni mwimbaji hodari wa muziki wa R n' B kutoka nchini Marekani.
Obe nadhani haitakuwa too much ikiwa utatupatia Twisted
Nilipanga kumrusha huyu jamaa pamoja na Ginuwine mwisho wa mwezi, Twisted was a bomb but kwanini haitokuwa too little tukipata Nobody
Kabla ya uvamizi nilikuwa Republican supporter na pro western basi baada ya uvamizi ule nilitafakari na kuamua kwamba siasa haitachukua sehemu kubwa ya maisha yangu, maana niliona jinsi watu wasio na hatia wakiuliwa bila sababu za msingi, maendeleo yakisisima na mengine mengi.Leo katika Historia
2003 - Uday Hussein anauwawa na majeshi ya Marekani katika mapambano yaliyochukua masaa matatu huko Tikrit nchini Iraq. Alikuwa ni mtoto wa Saddam Hussein, Rais wa zamani wa Iraq.
Ahsantee mama mawaini nadhani upo unakoroma muda huu..Mpaka hapo basi sina la ziada kutoka katika meza ya historia,
Tukutane tena kesho kwa Udhamini mzito wa matukio yanayoendelea huko Kibiti
Weekend bado inaendelea au sio (Crazy saturday )
Jina langu naitwa Jimena Jimenes ukipenda basi unaweza ukaniita J J nakuaga kwa kusema Bye...
Nakusubir kwa hamu nikuone katika muonekano mpya..Ntafikiria ombi lako