Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Pamoja mkuuAsante kwa nukuu mkuu transcend
Pamoja mkuuAsante kwa nukuu mkuu transcend
...lazima iniume, unajua nini kiliendelea kule, tumekula na tumekunywa basi si ndo story za siku zikaanza, jamaani yaani kweli ni siku yake ikaanza baada ya kuwa amekula.
story zenu zinachekeshaaHicho kipengele huwa sikipendiiii cha siku kuanza ghafla wakati inajulikana siku uanza mapema alfajirii ...
Ila navokujua ulibisha kama siku imeanza au imeishaa

1.Is it possibleMimi sikusoma kwa ajili ya mitihani bali hobby tu
Hata now vitabu vimejaa mitandaoni nikiwa free nasoma na siyo kusubiri riwaya ya kikanjanja za JF
![]()
![]()
![]()
.......
Kwemaa.... ni ajeeHabari za asubuhi mazeiya..
Hope mko gudi...
Bado kuna habari kinga haimalizi hamu, Bado kuna hatari mpenzi ukimwacha na hamu.
-Mond-
Safi kabisa broKwemaa.... ni ajee
Nilibisha kishenzi tukaangalia saa ikaonekana ni saa moja usiku bado akadai ile ni siku yake, kumaliza ubishi tukaangalia kalenda, kweli bhana kalenda ikamaliza ubishi, ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa, hepibesdei tuyu. Tukaendelea kula na kunywa

Mi sina mshono nduguDada tuliza mshono..
CjuiIna maana na mimi ninaishi Zenji?
Khee!Khaa!
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Atupe glasi ya makamasiWaafrika katika ubora wetu
Mungu atupe nini ?
....
Hapo kwenye cheni za gold wewe gawa shanga umetisha bila kinyago
![]()
![]()
![]()
......

Mmmmh!Kingine wanalinda papuchi zao zisiwe pwaaa
ukiendekeza usingizi utavuna matongotongo
Njia rahisi ni kujipendekeza tu kwa Bashite ndo utaweza kumrithi Mwakyembe
![]()
![]()
![]()
......

Kipindi hicho huo ugonjwa unaitwa Juliana
ya kweli hayoo?!ebwana mambo poa tu mshikaji wanguNjema tu mambo vp?