BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Ubarikiwe ....!!
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Ubarikiwe ....!!
Asante Obe ubarikiwe
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Ban inatafutwa kwa nguvu zote... HayaTuliza kitovu basi...
Nawe tuliza bilinganya hizo
![]()
![]()
![]()
Kipindi hicho huo ugonjwa unaitwa JulianaDuh umenikumbusha mdau
Nishawahi kusikia sikia sana kwamba mgonjwa wa kwanza alipatikana huko
.....
AmenISAYA 49
14.Bali Sayuni alisema,YEHOVA ameniacha,BWANA amenisahau.
15.Je!Mwanamke aweza kumsahau mtoto wake anyonyaye,hata asimuhurumie mwana wa tumbo lake?Naam hawa waweza kusahau lakini mimi sitakusahau wewe.
16.Tazama,nimekuchora katika vitanga vya mikono yangu,kuta zako ziko mbele yangu daima.
WAPENDWA..MUNGU NI BABA YETU,HATUSAHAU KAMWE AMETUCHORA KATIKA VITANGA NI UPENDO WA MILELE
ASANTE BABA kutufikisha usiku huu salama,asante kwa yote uliyotutendea,asante kwa neema mchana kutwa..tuma malaika walinzi watuzingire mpaka asubuhi,tunavunja kazi zote za muovu shetani usiku huu ,Damu ya YESU itufunike...ponya wagonjwa,fariji wafiwa,watie moyo waliovunjika moyo tuguse BABA majeraha yetu ni mengi tupate uponyaji wa mwili na roho katika jina la Yesu Amen
USIKU MWEMA MBARIKIWE MAKAPUKU WOTE..MUNGU HAJAWASAHAU,HATAWASAHAU AMEWACHORA KATIKA VITANGA ..ANAWAGUSA MGUSO MTAKATIFU AMEN![]()
![]()
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Asante Rafiki kipenz kwa Data muhimu1/South Africa![]()
![]()
![]()
List ingeishaje bila Mzulu kuwepo ?
Kwa % ya maambukizi ya VVU duniani anazidiwa na Swaziland na Lesotho pekee ila kwa idadi ya waathirika hakunaga kama Sauzi
Wasauzi wapo takribani 55,000,000 kwa idadi ya watu
Huku watu 5,600,000 wakiwa na ngoma yaani tusemetu 10%
Sasa wewe nenda na kiherehere chako kadate na Mzulu ......utajiju !!!
.
.
.
.
.
.
Baadaye kidogo wadau
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
..........
Msamehe.... Hali yake si nzuriEndelea tuu kaka
Na wewe piaUsiku mwema makapuku
YeahPole pole kaka...
Wewe wa kiume acha haya maneno.
Usijali loveNisamehe mke wangu....
I know darlingTwende mama..
I want to .......
HayaHi madam Sakayo
Hongera kwa 237k
Pole loveEndelea tuu kaka

Nawe pia lala salamaUsiku mwema makapuku
ZABURI 91
YEREMIA 17
BABA asante kutuamsha salama,tulinde tena siku yaleo,tuondoolee makosa yetu tutakase,bariki wasafiri,watoto mashuleni,ponya wagonjwa wafariji wafiwa na yatima mpe kila mmoja wetu hapa MAKAPUKU haja ya moyo wake,tujalie amani tunaomba katika jina la Yesu Amen
Ni kweli halina ubishiDuh umenikumbusha mdau
Nishawahi kusikia sikia sana kwamba mgonjwa wa kwanza alipatikana huko
.....
AmeeeeniiiYEREMIA 17
7.Amebarikiwa mtu yule anayemtegemea BWANA,ambaye BWANA ni tumaini lake,
8 .Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji,Uenezao mizizi yake karibu na mto;Hautaona hofu wakati wa hari ujapo Bali jani lake litakuwa bichi Wala hautahangaika mwaka wa uchache wa mvua wala hautaacha kuzaa matunda.
BABA asante kutuamsha salama,tulinde tena siku yaleo,tuondoolee makosa yetu tutakase,bariki wasafiri,watoto mashuleni,ponya wagonjwa wafariji wafiwa na yatima mpe kila mmoja wetu hapa MAKAPUKU haja ya moyo wake,tujalie amani tunaomba katika jina la Yesu Amen
NAWATAKIA SIKU NJEMA MBARIKIWE![]()
![]()
![]()
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app