Makapuku Forum

Makapuku Forum

ISAYA 49

14.Bali Sayuni alisema,YEHOVA ameniacha,BWANA amenisahau.

15.Je!Mwanamke aweza kumsahau mtoto wake anyonyaye,hata asimuhurumie mwana wa tumbo lake?Naam hawa waweza kusahau lakini mimi sitakusahau wewe.

16.Tazama,nimekuchora katika vitanga vya mikono yangu,kuta zako ziko mbele yangu daima.

WAPENDWA..MUNGU NI BABA YETU,HATUSAHAU KAMWE AMETUCHORA KATIKA VITANGA NI UPENDO WA MILELE

ASANTE BABA kutufikisha usiku huu salama,asante kwa yote uliyotutendea,asante kwa neema mchana kutwa..tuma malaika walinzi watuzingire mpaka asubuhi,tunavunja kazi zote za muovu shetani usiku huu ,Damu ya YESU itufunike...ponya wagonjwa,fariji wafiwa,watie moyo waliovunjika moyo tuguse BABA majeraha yetu ni mengi tupate uponyaji wa mwili na roho katika jina la Yesu Amen

USIKU MWEMA MBARIKIWE MAKAPUKU WOTE..MUNGU HAJAWASAHAU,HATAWASAHAU AMEWACHORA KATIKA VITANGA ..ANAWAGUSA MGUSO MTAKATIFU AMEN

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Amen
 
1/South Africa
448f53d4d47a02565ed46bf041674aa9.jpg
f1fdb81e226b1bd02d81050f60da9b5d.jpg
c4c1da53ff6a56575a01e477230c99c7.jpg

List ingeishaje bila Mzulu kuwepo ?
Kwa % ya maambukizi ya VVU duniani anazidiwa na Swaziland na Lesotho pekee ila kwa idadi ya waathirika hakunaga kama Sauzi
Wasauzi wapo takribani 55,000,000 kwa idadi ya watu
Huku watu 5,600,000 wakiwa na ngoma yaani tusemetu 10%
Sasa wewe nenda na kiherehere chako kadate na Mzulu ......utajiju !!!
.
.
.
.
.
.
Baadaye kidogo wadau
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
..........
Asante Rafiki kipenz kwa Data muhimu
 
YEREMIA 17

7.Amebarikiwa mtu yule anayemtegemea BWANA,ambaye BWANA ni tumaini lake,

8 .Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji,Uenezao mizizi yake karibu na mto;Hautaona hofu wakati wa hari ujapo Bali jani lake litakuwa bichi Wala hautahangaika mwaka wa uchache wa mvua wala hautaacha kuzaa matunda.

BABA asante kutuamsha salama,tulinde tena siku yaleo,tuondoolee makosa yetu tutakase,bariki wasafiri,watoto mashuleni,ponya wagonjwa wafariji wafiwa na yatima mpe kila mmoja wetu hapa MAKAPUKU haja ya moyo wake,tujalie amani tunaomba katika jina la Yesu Amen

NAWATAKIA SIKU NJEMA MBARIKIWE

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
YEREMIA 17

7.Amebarikiwa mtu yule anayemtegemea BWANA,ambaye BWANA ni tumaini lake,

8 .Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji,Uenezao mizizi yake karibu na mto;Hautaona hofu wakati wa hari ujapo Bali jani lake litakuwa bichi Wala hautahangaika mwaka wa uchache wa mvua wala hautaacha kuzaa matunda.

BABA asante kutuamsha salama,tulinde tena siku yaleo,tuondoolee makosa yetu tutakase,bariki wasafiri,watoto mashuleni,ponya wagonjwa wafariji wafiwa na yatima mpe kila mmoja wetu hapa MAKAPUKU haja ya moyo wake,tujalie amani tunaomba katika jina la Yesu Amen

NAWATAKIA SIKU NJEMA MBARIKIWE

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Ameeeeniii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom