Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
My pleasureAsante ankali kwa historia bora kabisa
My pleasureAsante ankali kwa historia bora kabisa
Salama kabisaAnkali za asubuhi
Njema tu mambo vp?wadau za asubuhi...
Husna mpenzi, BH ni Baada ya Hapo, yaani ni kama vifupisho vya kwenye kemia sijui wanaitaga chemistry

Ni vizuri kwenda kama uko freeSina uhakika sana
Mimi niliziona kwenye TV nikazipenda, kama na wewe una TV angalia utazipenda tu

MC Gregory anakwambia atapambana mpaka mwisho
Mpendwa wa Obe, yuko poa lakini
Asante kwa kuielewaFact
Kwahiyo mbwembwe nyingi hawa![]()
![]()
Hawana lolote hawa
Washakubaliana kupiga pesa
Usitarajie kuona ngumi jiwe...mi nitajilalia tu kwenye kigheto changu
.....
Mkuu mzima?Awwwww asanteeee
Hawezi kufanya chochote maana ukweli utabaki kusemwaAtaua mtu
Hii kesi ipo kabisa nje ya mawazo yangu ...binamu ebu fanya kama nahitaji msaada wako sasa bonge huyu ataua mtu ....
Zile pesa alishapiga mahesabu atachenjiii dolareeeee....![]()
![]()
![]()
Kwishaaa habariii yake

Tatizo ratiba yao mbayamdau jichange elfu tatu ukawachek everton...
Shemeji mzima?