Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Ina maana na mimi ninaishi Zenji?Ukubwa Wa zenji ni sawa na ukubwa Wa mbagala
Ina maana na mimi ninaishi Zenji?Ukubwa Wa zenji ni sawa na ukubwa Wa mbagala
Aisee, kumbe kuna mitala humuYupo kwenye mitala ni bi mdogo ati![]()
![]()
![]()
Ubarikiwe mkuu Bitoz1/South Africa![]()
![]()
![]()
List ingeishaje bila Mzulu kuwepo ?
Kwa % ya maambukizi ya VVU duniani anazidiwa na Swaziland na Lesotho pekee ila kwa idadi ya waathirika hakunaga kama Sauzi
Wasauzi wapo takribani 55,000,000 kwa idadi ya watu
Huku watu 5,600,000 wakiwa na ngoma yaani tusemetu 10%
Sasa wewe nenda na kiherehere chako kadate na Mzulu ......utajiju !!!
.
.
.
.
.
.
Baadaye kidogo wadau
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
..........
Na mlikoelekeaa Mungu aliwaonaaaa.....
Mimi nikaambulia mbu ...ila mja hatupwiiii ndo nikapata yuleee![]()
![]()
ilikuumaa
Bhas kanyee debeePole pole kaka...
Wewe wa kiume acha haya maneno.
Shukrani mkuu Bitoz kwa kumi bora1/South Africa![]()
![]()
![]()
List ingeishaje bila Mzulu kuwepo ?
Kwa % ya maambukizi ya VVU duniani anazidiwa na Swaziland na Lesotho pekee ila kwa idadi ya waathirika hakunaga kama Sauzi
Wasauzi wapo takribani 55,000,000 kwa idadi ya watu
Huku watu 5,600,000 wakiwa na ngoma yaani tusemetu 10%
Sasa wewe nenda na kiherehere chako kadate na Mzulu ......utajiju !!!
.
.
.
.
.
.
Baadaye kidogo wadau
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
..........
Labda BH ndio ajiandae
Endelea tuu kakaBhas kanyee debee
Khaa!we nae na BH wako
![]()
![]()
umependa usipopendwa
Pamoja sana mdauAsante
Kwani ulifikiriaje?Kumbe hali ni mbaya hivi??

Waafrika katika ubora wetuAfrica buana
Nchi ina watu wachache lakini bado ina wagonjwa kibao