Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
....sikia kale ka kauli mbiu ketu ka kuanza kurudisha vyetu naanza practical na yeye
..halafu hapa najiongelesha tu na wewe wakati aunt yangu hapendi
....sikia kale ka kauli mbiu ketu ka kuanza kurudisha vyetu naanza practical na yeye
Hata mimi yani nikikuona basi moyo wote kwatuuuuupoa Jimena, uwepo wako Jukwaani unanibariki sana.
kale bhana,kamekaa hapo kwenye profile ya threadKapi Hako mkuu
Si alinifuata nikamchenjie, nilipoziona zimeandikwa amajambele amafuranga ikumi nikajua tayari mtu kaliwa kwa furahabubu.
Anakumind sana hadi leo
AiseeTOP TEN
Una wapenzi wengi ?
Mimi sijui na sihitaji kujua ila nasikia kwa vijana ndo ujanja
Zamani mtu akiwa na UKIMWI ilikuwa sio siri maana angeharisha,angekohoa kutwa nzima,angetoka mapele,angekuwa na ukurutu,angekpnda
Ila nowadays kuna dawa za kupunguza makali {ARV) kumjua mwenye ngoma au asiye nao ni ngumu.....watu wanaungwa kwenye grid ya Taifa bila kujijua
Sasa tuangalie nchi kumi zenye watu wengi wanaoishi na VVU
NB.
Kigezo siyo % bali idadi hivyo kinara wa VVU duniani kwa % ni Swaziland ila hayupo sababu nchi yao ni ndogo kwa idadi ya watu
Karibuni
.......
Mmmmh10/Russia![]()
![]()
Ni Taifa kubwa duniani kiuchumi,kijeshi n.k
Ni nchi yenye idadi kubwa ya watu takribani Milioni 145...Ni miongoni Nchi kumi zenye watu wengi duniani na wanaongezeka tu
Nani kasema UKIMWI ni wa watu weusi tu ? Hata Wazungu wanao
Warusi takribani 950,000 wana ngoma
.....

![]()
![]()
![]()
Akinibamba siku moja sijui nachomokajeee ...ila ile njia yako mbadala ntaitumiaa ....suprise kwanza mengine baadaee.....
Dola hapatiii
9/USA![]()
![]()
Marekani pia hachomoki
Pamoja na ngebe na kujiona wao ndo kila kitu duniani ila jamaa nao wanakanyaga tu miwaya kama Waafrika
Donald Trump anaongoza taifa lenye watu zaidi ya 320,000,000 siyo kazi ndogo
Weusi ndio walioathirika zaidi mfano Arthur Ashe ambaye alikuwa ni staa mweusi wa tenisi ni miongoni mwa waathirika wa mwanzo mwanzo ila siku hizi mastaa kibao tu wana ngoma
Kama mnavyojua watu weusi bangi,pombe,ngono ndo vitu tunavyovimudu
Wamarekani takribani 1,200,000 wana VVU
........

Sa mie ntakupa vipi.... Rudi nyuma utaukuta mkuukale bhana,kamekaa hapo kwenye profile ya thread
Na mlikoelekeaa Mungu aliwaonaaaa.....Ile njia mbadala ni noma, si unakumbuka yaani mtu kakasirika lakini njia mbadala ikamfanya anihug
ilikuumaadah,post nyingi sana! sikaoniSa mie ntakupa vipi.... Rudi nyuma utaukuta mkuu
Asante1South Africa![]()
![]()
![]()
List ingeishaje bila Mzulu kuwepo ?
Kwa % ya maambukizi ya VVU duniani anazidiwa na Swaziland na Lesotho pekee ila kwa idadi ya waathirika hakunaga kama Sauzi
Wasauzi wapo takribani 55,000,000 kwa idadi ya watu
Huku watu 5,600,000 wakiwa na ngoma yaani tusemetu 10%
Sasa wewe nenda na kiherehere chako kadate na Mzulu ......utajiju !!!
.
.
.
.
.
.
Baadaye kidogo wadau
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
..........
Na mlikoelekeaa Mungu aliwaonaaaa.....
Mimi nikaambulia mbu ...ila mja hatupwiiii ndo nikapata yuleee![]()
![]()
ilikuumaa
LolKapuku Forum, hivi ni vifupi ambavyo ulipaswa uvijue kabla hujapost chochote huku.
Kuna kifupisho kingine BH, afu kuna lee empire , sijui kama ushamuona, ni mjomba wangu
Hicho kipengele huwa sikipendiiii cha siku kuanza ghafla wakati inajulikana siku uanza mapema alfajirii ......lazima iniume, unajua nini kiliendelea kule, tumekula na tumekunywa basi si ndo story za siku zikaanza, jamaani yaani kweli ni siku yake ikaanza baada ya kuwa amekula.
Kumbe hali ni mbaya hivi??6/Tanzania![]()
![]()
![]()
Ferouz aliimba Starehe zimemponza .....Mwanafalsafa akaimba Alikufa kwa ngoma Komba nae pia akaimba kivyake
UKIMWI ni janga Tanzania binafsi ni mtu wa Green City na nimezika ndugu wengi kutokana na hili janga ambalo kwa Tanzania Mbeya ni miongoni mwa vinara....Wanyaki kwa kupenda ngono nafikiri wanajulikana ila pia sababu nyingine ni ya Kijiografia
Kwa wasanii Twanga Pepeta wamepukutishana wenyewe kwa wenyewe kutokana na kupasiana nasikia kuanzia BanA,Aisha Madinda,Diana Aston Villa,Abou Semhando wote walikuwa na ngoma huku Ally Chini mzee wa mafarasi naye nasikia humo
Tanzania ina idafi ya watu zaidi ya Milioni 50
Watanzania zaidi ya 1,400,00 wamejiunga grid ya taifa
.......
Africa buana5/Mozambique![]()
![]()
Wamakonde pia wamo
Inaonekana tunezungukwa pande zote na nchi zenye UKIMWI
Msumbiji ina idadi ya watu wanaokaribia 30,000,000 ...ni miongoni mwa nchi maskini zaidi duniani
Wenye ngoma wanafikia 1,450,000
........
Poledah,post nyingi sana! sikaoni