Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Kumuona live bila chengaUsikose kwenda kumcheki ex wetu
Kumuona live bila chengaUsikose kwenda kumcheki ex wetu
Prof Wole Soyinka HBDLeo katika Historia
1934 - Wole Soyinka anazaliwa.
Ni mwandishi mashuhuri wa fasihi barani Afrika anayetokea nchini Nigeria.
History ndo mteremkoAdvance nili-divert mkuu..!
Nilikuwa na allegy ya History.![]()
hapo nilisoma Betrayal In The City tu! iyo ilikuwa o level na hata maudhui yake sikumbuki sasahivA Grain Of Wheat,The River Between,Betrayal In The City,Chike And The River,I'll Mary When I Want .....Kwa waliosoma sayansi A level fasihi imewapita kushoto japo mimi sikusoma HGL,HKL wala HGK Ila vitabu nilisoma Kwa kuibia kwa washikaji pia Library
...
HBD CraigLeo katika Historia
1979 - Craig Bellamy mchezaji wa mpira wa zamani wa Liverpool, Man City na Wales anazaliwa.
Alisifika sana kwa ukorofi enzi anacheza mpira.
RIPLeo katika Historia
1980 - Seretse Khama, Rais wa kwanza wa Botswana anafariki Dunia.
Hata Mo aliwakolomea man kuhusu usajili, baadaye ndio wakamchukua LukakuSio yeye mkuu make ata alivotoka likizo kwenye press conference aliongelea kutotimizwa kwa matakwa aliyoomba na mkataba wake alikuwa amegoma kuongeza kwa sababu ya mambo ya bodi ya usajili
Asante ankali kwa historia bora kabisaSina la ziada toka kwenye maktaba yangu siku ya leo ya tarehe 13/7/2017 tukutane kesho kwa udhamini wa nguvu kabisa wa Rooney. Niite Jimena Jimenes
Muwe na siku njema yenye furaha tele
Asante kwa nukuu mkuu transcendNUKUU YA LEO
i just want to say a massive thank you to everybody at manchester united,thank you to the board over years, the managers and coache's i hav played under,the staff i hav worked with, the team mates i hav played alongside,and finaly the amazing fans that i hav been lucky to play for . Thank for the memoris
Nitoe shukrani zangu nyingi kwa kila mmoja klabuni Manchester United, wakurugenzi wa bodi kwa miaka niliyokuwa hapa, mameneja na makocha niliofanya nao kazi, stafu niliofanyana nao kazi, wachezaji wenzangu niliocheza nao, na mwisho mashabiki ambao nimebahatika kucheza kwenye klabu yao. Asanteni kwa ukumbusho huu
Haye maneno yametamkwa na mwanasoka wa kiingereza na kipenzi cha klabu ya man united na everton za uingereza Bw. Wayne Mark Rooney .
Rooney alizaliwa October 24 1985 katika jiji la liverpool nchini uingereza.
Rooney amecheza michezo 77 akiwa na everton na kufunga magoli 17 tuu, amecheza mechi 559 na kufunga magoli 253 akiwa na man united.
Rooney anashikilia rekodi ya ufungaji wa magoli mengi zaidi klabuni MUFC na Time ya Taifa.
Leo atakuwa anacheza mechi ya 78 na timu ya Everton dhidi ya Gor mahia ya kenya, baada ya kurudi katika Club yake ya zamani ya Everton.
Leo Baba kai au (R10) au Wazza atakuwa Taifa pale..
![]()
![]()
![]()
Kwa hisani ya Bitoz, shunie, mossolin5, Nyagei na Transcend.
Team OT..
Maisha buana wakati United wako USA kwa Trump Rooney ye yuko Kinyerezi na timu yake ya Everton

na kama uka hit 27 akafu bado akijaeleweka unakua egemeo kabisaaa!Wakuu habari zenu
UTAFITI HEWA
Ukiwa huwezi kuamua jambo kwa akili zako basi tegemea kuwa mzigo kwa familia yako
Mkorofi sana huyu jamaa
Jamaa ni mkorofi mwenye kipaji
Mnaikumbuka hii?![]()
Ilikuwa ni baada ya kukorofisha na mchezaji mwenzie kabla ya mechi(nadhani John Arne Rise) sasa Bellamy sijui Bellamy akampiga mwenzie
Siku ya mechi nahisi UCL akafunga na kushangilia Kwa style hiyo akiigiza tukio lilitokea
.....
asante mkuu Jimena.. kesho sijui itakuwa kwa udhamini wa nani!Sina la ziada toka kwenye maktaba yangu siku ya leo ya tarehe 13/7/2017 tukutane kesho kwa udhamini wa nguvu kabisa wa Rooney. Niite Jimena Jimenes
Muwe na siku njema yenye furaha tele
Mkuu utaenda kumuona rafiki yako! WayneMC Gregory anakwambia atapambana mpaka mwisho
atapambana ila mr TMT anampiga vizur tuMC Gregory anakwambia atapambana mpaka mwisho
Sina uhakika sanaMkuu utaenda kumuona rafiki yako! Wayne
Tusibirie ulingoni tuatapambana ila mr TMT anampiga vizur tu
Itabidi tukurudishe Olduvai GorgeAdvance nili-divert mkuu..!
Nilikuwa na allegy ya History.![]()
Over size za mkuluasante mkuu Jimena.. kesho sijui itakuwa kwa udhamini wa nani!