shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Cc sakayoMmh sio yuja mpaka uzamtuma sakayo akuunganishe![]()
huyo simteia imi ndai ushe
Cc sakayoMmh sio yuja mpaka uzamtuma sakayo akuunganishe![]()
huyo simteia imi ndai ushe
Wow! Thanks mpendwaPicha huongea
![]()
Hahahaaa!Yap nilirudi kwa ajili ya vitisho eti unapumzika kwa nini huna bando au jamaan hivi nitakosa bando kweli hata la jf
We acha tuMpaka wapi
Okei, KISTAARABU NAJA, wenyeji humu mnafanyaga nini? Mi nilidhani mnaongeaga tu kumbe mnafanyaga pia!Ungekuja kiustaarabu kuuliza sawa lakini umeingia tu kwa lawama huo sio ustaarabu barafuyamoto sisi wenyewe tunajua tunachofanya mgeni hawezi elewa hata siku moja tena kwa siku moja
Lazima uwe mbele.... Kwa sababu hauna theme... Ukiandika K unapewa likes... Ukiandika m unapewa likes kwa dizaini hii utafika hata milioni.Bado unakimbia, upe wiki 2 utakuwa mbele ya huu kwa repplies nyingi.
Hapo ungempa na mauwa binamu yangu jamanWow! Thanks mpendwa
Msingi wa hayo maneno ni nini?? Yaani hoja ni nini humu??Hua tunaongea maneno kwan ww unaongea maandishi?
Hahahaaa!
Dada ana mikwara? Hakusafisha ile bunduki yake kweli?



ana mikwara sana jaman aliniambia ukiendelea kubisha nitajua cha kufanyaHello Mond...niambie my dear
Huu uzi THEME yake ni nini?? Naomba jua!!Lazima uwe mbele.... Kwa sababu hauna theme... Ukiandika K unapewa likes... Ukiandika m unapewa likes kwa dizaini hii utafika hata milioni.
Alifunga siku tatuKwamba Shedebe ndiye kakurudisha
Akikujibu nitagBinamu hivi nikuunge wapi sasa kwa mpendwa wako au kwa mama yangu mama mchuchu sikuelewi ujue
Msingi wa hayo maneno ni nini?? Yaani hoja ni nini humu??
Uko wapi nikuachie tuela twa mboga?Ebu nipitishie mimi kwanza kidogo halaf ndio urudishe