Mauzo sasaTEAM DECEMBER![]()
Asante. Kama kweli una maanishaNzuri sanaa
Alikuwa balaaa![]()
![]()
![]()
Ana rekodi ya 89--0--1
Hivyo data zinaongea wala siongezi kitu
.......
Kabisa kabisaKumbe na wewe wa kwetu
Aisee big up sana Lee Wa demi na shunieMfano ...DARASA HURU LA KAPUKU
JE WAJUA UBONGO WA BINADAMU UNAKUWA ACTIVE KIPINDI UMELALA /KUSINZIA KULIKO UKIWA MACHO ??
Ni ukweli husiopingika kuwa ubongo wa binadamu unakuwa active sana mda wa usiku au umelala kulinganisha na kipindi hujaupunyuaa ....ndiioo hujalala
Wewe ukiwa unajua umelala kumbe ndo ubongo uko bize kuliko unavyozania hii ni kutokana na ukweli kwamba neuronal system ambazo ndo zinahusika sana na hii hali zinakuwa active kuliko ....isodentritic core ambazo zinastretch kuanzia kwenye medulla kwenda mpaka kwenye hypothalamus hadi kufikia ubongo wa mbele zinasaidia sana .....
Ni mfano tu wa DHK
KaribuAsantee
Najua unaniamini switiiNipo namuona tu ....sina wasiwasi
Eka tighuane sisi kwa sisiKabisa kabisa
Yaani ndio hivyoMengine ndio nayajua leo kuhusu yeye bro..Tuko pamoja daima sidhan kama nitatoka humu, hata nikitoka labda nibadili lazm nirudi humu.
Humu ndio nimekulia toka bado mgeni hata mwez sijatimiza na pamenikutanusha na watu wengi ambao nawachukulia kama ndugu zangu na ninaweza shea nao kitu chochote bila kuogopa..
Long live Kf
Haya. Ila mi nasikia tu kujibu siwezi aiseeEka tighuane sisi kwa sisi
Miss you much moreUpogo? Miss u
Hehe heheeeeee.....wouuuuiiiiiUtashangaa mbwai.... Ambu nzakughambia ukwei

Yaani ndio hivyo
Yupo hadi tunaosaidiana nje ya JF
Na tunaheshimiana na kutunziana siri tofauti na wanaJf wengine thread za kupakana matope kuhusu mambo yao ya nje ya JF zinajaa kila Siku
Sisi tupo kimya hatuna makuu na mtu nguzo yetu ni upendo na mshikamano
..... .....
Salama tu kamanda mkuu, kwema huko?Mkuu habr ya wewe
Lee uje hukuuuSikunda kuamini imi haya ni mapya kwangu![]()
sikunda mghoshi wa aina yeyoshe humu jf
Nzajifunza kumwamini mtu sikunda imi yaan sikunda