BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Ijumaa naleta ile samsung mama..iko ndani tayari..
Ubarikiwe T wa SakayoSent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Ijumaa naleta ile samsung mama..iko ndani tayari..
Ubarikiwe T wa SakayoHahahaHahahahahahaha unakosaje kuwepo sasa kwa mfano??
Hahahahaha sasa naona wengi wameziweka ONZinaboa kinoma usifanye hivo JJ
Oooh! Sipo mimiHahahahahahaha unakosaje kuwepo sasa kwa mfano??
hapana sio new member, ila wakati makapuku inaanzishwa mwanzoni nilikuwa naingia sana ila hapa katikati sijaingia kutokana na majukumuNew member?
Haahaaaaam..Ewaaaa
Wahi nyumbani basiSio mioyo tuu..! Nahisi hadi blood vessels
aisee kwema mkuuKwema za huko ulipo kuwa
Iwe KAMA ya T anayomletea Sakayo sio TECNO ,UTAKIMBIAHizi signature sasa acha namimi niweke yangu on
Sent from my Motorola bapa using Jf applicationHahaha
Weka tuu werevaa yako
Weeeee hebu kula bhana..Jamaniiii
Usinifanye nifunge kula sababu ya furaha
Fafanua Mkuu, wanapatikanaje?Hivi karibuni ilifanya utambulisho mahali hapa DSM,Masharti yao ilikua ulipee pesa,watakupa mashine unayohitaji kwa shughuli zako na wanakufungulia akaunti unakua mbia,bado mchakato unaendelea nia yaobilikua kupata wateja
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Sawa baeSio kukuita tuu..! Hadi kukueleza..
Si unajua wewe na mimi ni kitu kimoja.
Ooh! Nice to see him/her back..No ni wa kitambo
Tumemmiss pia..New anakumis? T
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Mama wewe utakuwa shahidi![]()
![]()
Ubarikiwe T wa Sakayo
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Ama nene
Omeprazole ni kwa ajili ya
maintanace kama ana vidonda watacheck hpylori kama positive watampa kit ya mwezi..na magnesium ya maji,na baada ya hapo omeprazole kidonge kimoja kila sk,kama serious atachomwa pantocid,na kadrip angalau mbili na dawa ya maumivu atapumzishwa hosp ,baada ya hapo kama atapimwa ndio hiyo kit..ni lazima aende hospitali ili kupata tiba sahihi,na kuwa mwangalifu na chakula,kula kwa wakati na right food