Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwenye maisha hua tunafanya mengi sana, mabaya mazuri na mengineyo meeengi. Ikitokea umemkwaza mtu kua mwepesi kujishusha thats how inatakiwa kuwa, ukiona umekosewa then kua muwazi kwa aliekukosea ili usjbaki na jaka la moyo.

Naomba kuwaomba radhi kwa yeyote anaejua nimemkosea by any means anisamehe na alienikwaza kwa vyovyote nimesamehe kwa moyo mweupe

U guys u were more than friends kwangu ni kama family

Nawaaga i wont be here kwa muda usiojulikana kidogo

I love ya'all.
Tutakumiss sana madame s jamaan me kwakweli huna ulichonikosea
 
..kwa vile alishazizoe huko, labda wewe uende next level uvae magololi

CCNXbo0UMAIInG7.jpg
Magololi avae mdogo wake mama ashura hivi binamu una nini lakini au unanichukuliaje lakini
 
Afu hivi hizo mavitu zinasaidia nini?

Manake kuna mahali nilipita nikakuta wanapinga kuhusu sanga na wakasema zamani zilivaliwa na wanawake zikiwa na maana fulani fulani...

Mfano; mwanamke akiwa kwenye hedhi atavaa shanga nyekundu so mme akiona tuu anaelewa No game, hivyo na zingine zilikuwa na maana zake pia..
Muulize binamu obe
 
Kwenye maisha hua tunafanya mengi sana, mabaya mazuri na mengineyo meeengi. Ikitokea umemkwaza mtu kua mwepesi kujishusha thats how inatakiwa kuwa, ukiona umekosewa then kua muwazi kwa aliekukosea ili usjbaki na jaka la moyo.

Naomba kuwaomba radhi kwa yeyote anaejua nimemkosea by any means anisamehe na alienikwaza kwa vyovyote nimesamehe kwa moyo mweupe

U guys u were more than friends kwangu ni kama family

Nawaaga i wont be here kwa muda usiojulikana kidogo

I love ya'all.
maneno kuntu unaenda wapi madam
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom