Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwenye maisha hua tunafanya mengi sana, mabaya mazuri na mengineyo meeengi. Ikitokea umemkwaza mtu kua mwepesi kujishusha thats how inatakiwa kuwa, ukiona umekosewa then kua muwazi kwa aliekukosea ili usjbaki na jaka la moyo.

Naomba kuwaomba radhi kwa yeyote anaejua nimemkosea by any means anisamehe na alienikwaza kwa vyovyote nimesamehe kwa moyo mweupe

U guys u were more than friends kwangu ni kama family

Nawaaga i wont be here kwa muda usiojulikana kidogo

I love ya'all.
Sawa madame...

Will miss you too
 
Kwenye maisha hua tunafanya mengi sana, mabaya mazuri na mengineyo meeengi. Ikitokea umemkwaza mtu kua mwepesi kujishusha thats how inatakiwa kuwa, ukiona umekosewa then kua muwazi kwa aliekukosea ili usjbaki na jaka la moyo.

Naomba kuwaomba radhi kwa yeyote anaejua nimemkosea by any means anisamehe na alienikwaza kwa vyovyote nimesamehe kwa moyo mweupe

U guys u were more than friends kwangu ni kama family

Nawaaga i wont be here kwa muda usiojulikana kidogo

I love ya'all.
 
1/Indonesia
212abc02f4bd9684382f6eac38f027a7.jpg
eb12b09ab6e4b7cc8e7cc661fe37f0cf.jpg
b9203e263a17d36c96607b5266a51149.jpg
Nani nasema Waafrika pekee ndio wachawi?...tembea ujionea
Huku nako usiku ni mwendo wa kuvua nguo na kuwanga
Rais wao keshasema hadharani kwamba anaamini katika ushirikina na kuwa Rais mchawi pekee duniani ....wewe na mimi kama hatuamini uchawi ni Imani/msimamo wetu
Waindonesia ni noma kiasi kwamba serikali unataka kuifanya practisi ng black magic iwecrimal offence
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.........
Shikamoo yao huko Indonesia.
Ila waafrika na Asia tumezidi jamani hiyo top 10 tumeitawala.
Mi binafsi siamini uchawi wala uganga
Dini yangu ni Upendo (sio mfuasi wa dini za mashariki ya kati za kiafrika wala Asia)
Na pia ni Antagonist kuhusu uwepo wa Mungu na Shetani
Na always huwa nashauri watu watende mema sababu we reap what we have sown...
Asante kwa kumi kubwa Bitoz na kati ya mabibo beach
 
Kwenye maisha hua tunafanya mengi sana, mabaya mazuri na mengineyo meeengi. Ikitokea umemkwaza mtu kua mwepesi kujishusha thats how inatakiwa kuwa, ukiona umekosewa then kua muwazi kwa aliekukosea ili usjbaki na jaka la moyo.

Naomba kuwaomba radhi kwa yeyote anaejua nimemkosea by any means anisamehe na alienikwaza kwa vyovyote nimesamehe kwa moyo mweupe

U guys u were more than friends kwangu ni kama family

Nawaaga i wont be here kwa muda usiojulikana kidogo

I love ya'all.
Mbona unatoka baru bana..... Unajua tutakumiss sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom