Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Nami nije?Chalii wa Ngarenaro atakuleta usijal
Nami nije?Chalii wa Ngarenaro atakuleta usijal
Mic u too jamani,unaendleaje lakiniMy love mic you
Tanx a lotHbd to you
Hakuna namna ingine acha tuendelee kulana tuMmh..
Aya ! Endeleeni kulana tuu
Sasa ndo umsaidieeKumbe ni hivyo basi nitakaa kimya baba d
Mke mwee nipo upande wa binamu yanguNa timu yake anashabikia mwambie yte

Njoo tuNami nije?
Siwatafuti maneno kweli na mie nataka anifundushe mambo ya shanga 700

Nije?Tanx a lot mdgo wang
Kila mtu na simu yake jamaan me sitaki naweza nikakufwaaa
Mshenga wenu ushamgeika tenaMke mwee nipo upande wa binamu yangu![]()
Umefurahi mwenyewe
Shemela hajaweka stori yetu leo![]()
![]()
nakufahamu na mambo yako
...anko, sasa hivi nina maelewano mazuri na aunt yangu, usiniharibie. Ujue tutakuwa wageni pale kigamboni hivi punde sitaki aghairishe kisa mambo yako.
Ila tuache utani, lile pilau lilikuwa poa sana, anko ukaomba na mkeka kabisa ikabidi upelekwe nyumba ya wageni kupumzishwa na mdogo wake mama Ashura
nyumba ya wageni kaenda kupumzishwa na mdogo wake mama ashura woiiiiii kigamboni siendi nendeni wenyewe
Sawa jamaanSasa ndo umsaidiee
Kweli mke mwee usikute mtu hatulii sababu ya hizo mambo
Nataka aweke nyama kidogo..!![]()
Kwangu mimi "kuujua" uchawi hakuna umuhimu wowoteUmeona umuhimu wa Mshana jr sasa eeh?![]()