Makapuku Forum

Makapuku Forum

5/Uganda
03e809ca1499f68fe853ea6770068b48.jpg
eb365a6e0619af03e22d4f64304b7db2.jpg
8491fa14092d713c447fffd49918e799.jpg
Mashabiki wa Thimbwa timu yenu siku na miaka ya karibuni imekuwa anafanya vibaya sababu mmejaza washirikina(Waganda) juzi tu mmemrudisha kikosini babu Okwi
Asilimia kubwa ya Waganda wanaamini ushirikina
Huko nchini Uganda kuna kesi kibao zinazohusiana na ushirikina mfano mauaji ya vikongwe, mambo ya misukule na juzijuzi tumeona eti Ivan Semwaga akizikwa na maburungutu ya pesa eti kafara
........
 
...anko, sasa hivi nina maelewano mazuri na aunt yangu, usiniharibie. Ujue tutakuwa wageni pale kigamboni hivi punde sitaki aghairishe kisa mambo yako.

Ila tuache utani, lile pilau lilikuwa poa sana, anko ukaomba na mkeka kabisa ikabidi upelekwe nyumba ya wageni kupumzishwa na mdogo wake mama Ashura
nyumba ya wageni kaenda kupumzishwa na mdogo wake mama ashura woiiiiii kigamboni siendi nendeni wenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom