Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Asanteeee natamani binamu yangu obe akuje asomeKaribuni
Asanteeee natamani binamu yangu obe akuje asomeKaribuni
Aiseee10/Saudi Arabia![]()
Ulifikiri washirikina wapo barani Afrika pekee ? Umepotea....Waarabu wa Asia nao wamo![]()
Kutokana na kukithiri kwa uchawi wa watu kuwangianausiku(sijui uchi) serikali ya Saudi Arabia ikaona isiwe tabu ikaanzisha kitengo Anti--witchcraft Unit maalum kusaka wachawi
Ukishikwa unajihusisha na uchawi adhabu yake ni kuchinjwa au kutupwa jela
Wachawi wakuu ni wanawake
Naishia hapa.....Believe me or NOT
.........
Asante sana T wa Sakayo na Sakayo wa T kwa udhamini,asante mkuu Shululu kwa magazeti kazi yenu ni njema mbarikiwe sana

Nzuri kabisa mama mchungaji, za darNjema jamani za Eid,nimeona jana uko Karatu je za huko ubarikiwe mkuu
Hbd to youEid Mubaraka wapenzi
Leo Siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwangu,nani pacha wangu hapa
KaribuTOP TEN
Uchawi upo au haupo ?
Umewahi kurogwa ?
Unaamini katika ushirikina/uchawi ?
Umewahi kwenda kwa sangoma kurekebisha mambo?
Majibu kaa nayo tu moyoni bwako hayanihusu.......
Binafsi siamini katika uchawi na ushirikina wala kuogopa eti kurogwa!! Mbona hawarogi makaratasi yageuke pesa ili tuondokane na hali ngumu ya awamu hii ya bwana Sizonje
Tupo karne ya 21 lakini kuna nchi kibao duniani bado zianaamini katika uchawi
Sasa nakuletea kumi kubwa ya nchi vinara kuamini uchawi na ushirikina duniani
karibuni
......
I seee! Hatari...upo mwaka pale KIBAHA..wakati wabutawalabwa Che...Nkapa walikuja watu na barua toka ikulu kuwa watoe wachawi..serikali za mtaa zisimamie..jamani niliona maajabu kwa macho yangu ..walikua da dawa unakunywa na unalipa elfu moja waliokataa wote walikufa..waliokunywa na kurudia wote hawapo,waliokunywa na kuacha uchawi wengi walifilisika hakika haya mambo uyasikie tu...10/Saudi Arabia![]()
Ulifikiri washirikina wapo barani Afrika pekee ? Umepotea....Waarabu wa Asia nao wamo![]()
Kutokana na kukithiri kwa uchawi wa watu kuwangianausiku(sijui uchi) serikali ya Saudi Arabia ikaona isiwe tabu ikaanzisha kitengo Anti--witchcraft Unit maalum kusaka wachawi
Ukishikwa unajihusisha na uchawi adhabu yake ni kuchinjwa au kutupwa jela
Wachawi wakuu ni wanawake
Naishia hapa.....Believe me or NOT
.........
Nimechochea nini shemelaUmekuwa mchochezi sana shemela na mhabeshi sikuwekei sasa ujue umemfundisha mpaka mke mwee
MnoooMama angu mie najua vile wapenda mauwa![]()
Hahahha shemela acha uchochezi ujue
Inaogopesha mama mchuchuI seee! Hatari...upo mwaka pale KIBAHA..wakati wabutawalabwa Che...Nkapa walikuja watu na barua toka ikulu kuwa watoe wachawi..serikali za mtaa zisimamie..jamani niliona maajabu kwa macho yangu ..walikua da dawa unakunywa na unalipa elfu moja waliokataa wote walikufa..waliokunywa na kurudia wote hawapo,waliokunywa na kuacha uchawi wengi walifilisika hakika haya mambo uyasikie tu...

Hahaha unajua mwenyewe na mauchochezi yakoNimechochea nini shemela
Cabblepots kuna siku alirudi kwa jina la Malcom lumumba, siku hizi simuoni.
Kiukweli sina mfano wa kufananisha zile siku.
Ni kweli kuna siku tulikuwa twatofautiana kwa muda lkn mwisho wa siku tulibaki WAMOJA, kf ilinifunza mengi kuanzia kuchukuliana kitabia na kukubaliana.
Tulionekana tunafanya mambo ya kijinga LAKINI nimegundua jf sasa wanaielewa kf na wengi hupita humu kimyakimya wanajifunza na KULIKE KIMOYOMOYO.
Kf imenipa marafiki wengi hadi wengine tunafanya project za maana baada ya kukutanishwa na kf.
Mimi huwa ninamsemo usemao "unaweza kuokota fedha jalalani"
Tuliitwa kila aina ya majina na kebehi eti kisa jina KAPUKU lkn leo wengi hupita humu na kujifunza, nimeshuhudia wakikiri kwa vinywa vyao.
Ni kweli hata nami natamani tukutane siku moja, I have nothing to hide hata niogope kukutana na mtu wa jf.
Cc mkongo
Shululu
Bitoz
Jimena
Sweetiepie
Lizzie
Beilly5
Manuu
Briz
Pat123
Mussoli5
Youngblood
Nawamis hawa viumbe wa kipindi kile
Si maanishi waliopo hawafai lahasha
Wakuu hapa twakumbuka mbaali sana mtuwie radhi. Tunaheshimu uwepo wenu sana
Transcend
Lee
Shunie
Sakayo
Husna
Fakalava
Bleesedhope
Mondray
Na wengine wengi

Woyoooooooooooooooo