Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Anaweza kujifungishaa huyuuHa ahahahaj, kama wewe ni.mchezaji basi umekuja kwa mkopo. Siwezi kukuamini kucheza dakika 90 ⛹️
Anaweza kujifungishaa huyuuHa ahahahaj, kama wewe ni.mchezaji basi umekuja kwa mkopo. Siwezi kukuamini kucheza dakika 90 ⛹️
Acha tu niamini hivyo hivyo tu Baba DJamani nakupenda wewe mm namsindikiza binamu make mimba yako inanichukia ata mm tukikaa saa 1 tushavurugana
Kufanya niniSawa binamu naomba unipeleke kwa mama ashura basi
Aisee hatari sana, Tanzania inashika No9Huo ni uchawi wa tanga lakini walengwa ni watoto ila me na ukubwa wangu bado nauogopa mpaka leo uchawi wa macho tu huo shemela kuna watu wana macho makali unaweza ukawa na mimba mtu anakuangalia tu badae mimba inatoka acha tu shemela
Nataka nijue binamu na me nimvalie baba d ujue labda hivyo cha kwangu kilivyo kitupu bila kitu ndio inasababisha atoke aje hukoooNajua sana kuhusu mdogo wake, madada wa Mtwara hawafichani. Nilimuulizaga hivi;
Mimi: mbona unavaa nyingi sana?
Yeye: kwani hizi ni nyingi! Hujaziona za mdogo wangu.
Sasa hapo anko unadhani sijui nini?
Yereeeewiiiiiih ...Najua sana kuhusu mdogo wake, madada wa Mtwara hawafichani. Nilimuulizaga hivi;
Mimi: mbona unavaa nyingi sana?
Yeye: kwani hizi ni nyingi! Hujaziona za mdogo wangu.
Sasa hapo anko unadhani sijui nini?
Hahahh nikiwa tanga nikiwa nje nakula halaf mtu aniangalie sana naondoka me ni muogaAisee hatari sana, Tanzania inashika No9
Si mm aliniomba nimpishe amalizane na mama Ashura make alitaka awahi kwenda kwa subira muhudumu mpya
Baba D kufundishwa hayo mambo yanayosababisha usitulieKufanya nini
....khaaaa, tunaenda Mimi na wewe , mimi mjomba angu simjui kabisa. Jamani hii ni safari crucial sana kuliko crucification yenyewe
binamuuu sitakiii
Binamu huyuHiyo inaitwa juu kwa juu
HahahhhMimi nilijua mapema kuwa hawakuamini
Pattern si uliniambia nitoeUnanichonganishaa wakat pattern mpaka unitolee ww
Huo ni uchawi wa tanga lakini walengwa ni watoto ila me na ukubwa wangu bado nauogopa mpaka leo uchawi wa macho tu huo shemela kuna watu wana macho makali unaweza ukawa na mimba mtu anakuangalia tu badae mimba inatoka acha tu shemela

Baba D lazima nikafundishwe huko jinsi ya kuvaa labda utatuliaYereeeewiiiiiih ...![]()
![]()
![]()
![]()
Nilijuaaa ile siku nimekumbukaa
Binamu apia....khaaaa, tunaenda Mimi na wewe , mimi mjomba angu simjui kabisa. Jamani hii ni safari crucial sana kuliko crucification yenyewe
Unaona sasa unakoelekea! Mwenzio nilikuwa nimefunga, sasa kufungulia imekuwa kosa! Unataka nifunge na sita wakati sitaki

Nakupendaaa ila leo ntachelewaa kidogoAcha tu niamini hivyo hivyo tu Baba D
Kabisa aiseeBinamu huyu