Makapuku Forum

Makapuku Forum

Girl: Baby kila sikukuu za eid zikifika wenzangu
wanapelekwa out na baby zao mara
serengeti, mara Zanzibar kwann
wewe hunipeleki?

Boy: sikukuu hii nitakulepeka

Girl: waooooo bby asante umeplan
kunipeleka wapi?

Boy: ntakupeleka KIBITI

Gil: nyoooo!! kafe mwenyewe

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahhah
 
Cobrepots ndo MALCOM LUMUMBA na Siku hizi namuona Malcolm Lumumba(herufu ndogo) nahisi ni yeye pia
Hao wengine nao watakuwa wapo JF kama kawa ila kwa ID Zingine na tunachat nao bila kujua
Kuna wakongwe wengi hapa KF kwa ID fekelo
..........
Huyu mtu majuzi alilike sana post zangu huku kapuku nikajiuliza si aliaga jf
 
Back
Top Bottom