Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Nakumbuka uliwahi kuniambia kuwa ulikuwa unaniogopa sana eti mkorofi.Hahaha
Ulikuwa ka mie sio, nilikuwa nikifungua uzi nahisi wananiona wanipe vijembee
Hebu lete ushuhuda hapa, mie ni mkorofi eti!!!
sijui na leo mwendo wa kugongewa like unaendelea
