Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Wa mpendwaMinal faidhina
Naomba mkono Wa idi
Wa mpendwaMinal faidhina
Naomba mkono Wa idi
Happy born day my dearEid Mubaraka wapenzi
Leo Siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwangu,nani pacha wangu hapa
Tanx mamyHappy born day my dear
HahahaWakuu nimependaa throw back japo kipindi kile nilikuwa napaogopa kapuku kinomaaaaa....id yangu ya mwanzo ila nilikuwa siitendei haki
Kama ya kwanguHii nayo kali aisee![]()
![]()
![]()
Halafu mi mwenyewe sahivi nataka nikitulia nitafute bebi mpya maana maisha haya ya upweke yamenichosha. Ila huyu bebi ni lazima awe na swaga na pia avatar yake iwe ya kuvutia kabisa...... Hahahahaha crazy Jimena

Keki wapiii sasaTanx mamy
Siku moja tuliamshee tenaJf nusura isimame aisee![]()
![]()
![]()
![]()
Neno hilo hilo lipo:YOELI 2
12.Lakini hata sasa asema BWANA ,Nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote,na kwa kufunga ,na kwa kulia ,na kwa kuomboleza
Asante Baba kutuamsha salama.tunaomba toba kwa yote tuliyokosa kwa mawazo,maneno na matendo uturehemu twakusihi.
Bariki MAKAPUKU wote mahali hapa ,tupe moyobwa kukutegemea na kukuamini na kila tunapoenda kinyume na mapenzi yako ,kwa matakwa yetu wenyewe hima tukurudievkwa kuomba,kutubu,kuomboleza ili utusamehe na tujute tusirudie yale runayozoea kutenda kwa kukusudia au bahati mbaya,tufundishe kusamehe wenzetu kama vile unavyotusamehe,asante kwa siku ya leo endelea kutuweka karibu tukufundushana kwa upendo na kuchukuliana.
fariji wafiwa,wajane,yatima ponya wagonjwa watie moyo waliovunjika moyo waendelee kukutegemea.
Asante BABA maana kila siku unasikia na kujibu maombi yetu.
Katika jina la YESU Amen
SIKU NJEMA WAPENDWA![]()
![]()
Nipe time kidogo..Shusha nukuu wewe
....

Mimi nakufahamuuNaona unakwepesha kwepesha!
Mtu tuko wote kapuku asubuhi na jioni .![]()
Nipo kapuku tuu..siko huko whatsap mimiNipo
Ujue we ukileft na mie naleft
Yaaani hiyo link kuna wengi watajiunga bila kupenda..
Manake ukiibofya tuu as long as una whatsapp lazima ujikute umo ndani..

Ubarikiwe Sakayo siku njemq
Wakuu nimependaa throw back japo kipindi kile nilikuwa napaogopa kapuku kinomaaaaa....id yangu ya mwanzo ila nilikuwa siitendei haki
Mngepewa vijembe mkalime siku nzimaHahaha
Ulikuwa ka mie sio, nilikuwa nikifungua uzi nahisi wananiona wanipe vijembee
Au ndo lile la wakubwa ??kweli mkuu, mbaya zaidi ukute ni group la ajabu..mbona balaa
Hamna shidaMimi nakufahamuu