Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahaha hilo jina lilinipa umaarufu, ilikuwa kiki tu, kuna member analitumia but kaongeza 2 mwishoni. Asante ulinipiga majiwe/mawe hadi nkaomba poo, nikaja na Kigli/quigley. I real miss those days, hakuna mfano wake Jimena
Hahahahaha kweli nilikuwa nakupa madongo sana. Halafu huyo aliyelikopi nae kavu sana... Hawezi kuwa kama wewe eti.
Mwenyewe ulikuwa unajitetea weee lakini sikuwahi kukuelewa asilani. Hahahahaha I miss those days too..... Hapa mai bebi Szczesny sambamba na mai bebi wa siri briz halafu my pacha na pia mke mwenzangu sweetiepie dah kweli maisha ni sasa bila kumsahau my secret admire Dj Cobblepots akikaa kwenye moja na mbili mambo yanakuwa barabara kabisa.
 
Hahahahaha kweli nilikuwa nakupa madongo sana. Halafu huyo aliyelikopi nae kavu sana... Hawezi kuwa kama wewe eti.
Mwenyewe ulikuwa unajitetea weee lakini sikuwahi kukuelewa asilani. Hahahahaha I miss those days too..... Hapa mai bebi Szczesny sambamba na mai bebi wa siri briz halafu my pacha na pia mke mwenzangu sweetiepie dah kweli maisha ni sasa bila kumsahau my secret admire Dj Cobblepots akikaa kwenye moja na mbili mambo yanakuwa barabara kabisa.
Daaah itabidi nimsake briz aisee, pacha yako mzima sana, jana nilimcheki, kipenzi wako ndo alituacha hoi alipoaga jmn. All in all heko kwa BITOZ kakomalia uzi hatimaye unaendelea kupaa na una sura mpya kabisa.
Nimefurahi kukuona tena
Bitoz
 
Hahahahaha kweli nilikuwa nakupa madongo sana. Halafu huyo aliyelikopi nae kavu sana... Hawezi kuwa kama wewe eti.
Mwenyewe ulikuwa unajitetea weee lakini sikuwahi kukuelewa asilani. Hahahahaha I miss those days too..... Hapa mai bebi Szczesny sambamba na mai bebi wa siri briz halafu my pacha na pia mke mwenzangu sweetiepie dah kweli maisha ni sasa bila kumsahau my secret admire Dj Cobblepots akikaa kwenye moja na mbili mambo yanakuwa barabara kabisa.
Dj coblopt kuna siku alianzisha uzi wa kuaga na kukiri kutumia ids kibao, malcolm lumumba kwenye siasa, coblopts kwa makapuku na na zingine kwa majukwaa mengine
 
Salamu nyingi sana toka nilipo
04787a3bb8a6ff4c470023f08e0bbb5c.jpg
Naona kaka Bitoz amekuwa mfano wa kuigwa..

Keep it up mkuu..!
 
Daaah itabidi nimsake briz aisee, pacha yako mzima sana, jana nilimcheki, kipenzi wako ndo alituacha hoi alipoaga jmn. All in all heko kwa BITOZ kakomalia uzi hatimaye unaendelea kupaa na una sura mpya kabisa.
Nimefurahi kukuona tena
Bitoz
Hapa kama kwenye daladala mmoja anashuka mwingine anapanda na life inasonga... Mpe Briz salamu zangu
 
Dj coblopt kuna siku alianzisha uzi wa kuaga na kukiri kutumia ids kibao, malcolm lumumba kwenye siasa, coblopts kwa makapuku na na zingine kwa majukwaa mengine
Sasa.... Ameondoka kabisa jf au? Nilikuwa namuelewa sana kuna siku tulikesha hadi asb tukiwa Mimi, Briz na Cobblepots halafu kesho yake Szczesny akanuna

Halafu sisi nao eti siku nyingine tulikuwa tunanuniana lol
Utakuta mi siongei na Kigli hahahahaha baadae yanaisha kisha tunaendelea na stori kama watoto yani ila kiukweli natamani siku moja makapuku wote ambao wataweza basi tukutane somewhere DSM tugonge cheers..... Na kupiga stori maana huu uzi nao ni homa ya dengue ama nene......
 
Hahahahaha kweli nilikuwa nakupa madongo sana. Halafu huyo aliyelikopi nae kavu sana... Hawezi kuwa kama wewe eti.
Mwenyewe ulikuwa unajitetea weee lakini sikuwahi kukuelewa asilani. Hahahahaha I miss those days too..... Hapa mai bebi Szczesny sambamba na mai bebi wa siri briz halafu my pacha na pia mke mwenzangu sweetiepie dah kweli maisha ni sasa bila kumsahau my secret admire Dj Cobblepots akikaa kwenye moja na mbili mambo yanakuwa barabara kabisa.
Cobrepots ndo MALCOM LUMUMBA na Siku hizi namuona Malcolm Lumumba(herufu ndogo) nahisi ni yeye pia
Hao wengine nao watakuwa wapo JF kama kawa ila kwa ID Zingine na tunachat nao bila kujua
Kuna wakongwe wengi hapa KF kwa ID fekelo
..........
 
Sasa.... Ameondoka kabisa jf au? Nilikuwa namuelewa sana kuna siku tulikesha hadi asb tukiwa Mimi, Briz na Cobblepots halafu kesho yake Szczesny akanuna

Halafu sisi nao eti siku nyingine tulikuwa tunanuniana lol
Utakuta mi siongei na Kigli hahahahaha baadae yanaisha kisha tunaendelea na stori kama watoto yani ila kiukweli natamani siku moja makapuku wote ambao wataweza basi tukutane somewhere DSM tugonge cheers..... Na kupiga stori maana huu uzi nao ni homa ya dengue ama nene......
Itakuwa pouwa sana..
 
Cobrepots ndo MALCOM LUMUMBA na Siku hizi namuona Malcolm Lumumba(herufu ndogo) nahisi ni yeye pia
Hao wengine nao watakuwa wapo JF kama kawa ila kwa ID Zingine na tunachat nao bila kujua
Kuna wakongwe wengi hapa KF kwa ID fekelo
..........
Uko sahihi kabisa kwavile hapa napo ni kama maji usipokunywa basi utaoga.
 
Sasa.... Ameondoka kabisa jf au? Nilikuwa namuelewa sana kuna siku tulikesha hadi asb tukiwa Mimi, Briz na Cobblepots halafu kesho yake Szczesny akanuna

Halafu sisi nao eti siku nyingine tulikuwa tunanuniana lol
Utakuta mi siongei na Kigli hahahahaha baadae yanaisha kisha tunaendelea na stori kama watoto yani ila kiukweli natamani siku moja makapuku wote ambao wataweza basi tukutane somewhere DSM tugonge cheers..... Na kupiga stori maana huu uzi nao ni homa ya dengue ama nene......
Cabblepots kuna siku alirudi kwa jina la Malcom lumumba, siku hizi simuoni.
Kiukweli sina mfano wa kufananisha zile siku.
Ni kweli kuna siku tulikuwa twatofautiana kwa muda lkn mwisho wa siku tulibaki WAMOJA, kf ilinifunza mengi kuanzia kuchukuliana kitabia na kukubaliana.
Tulionekana tunafanya mambo ya kijinga LAKINI nimegundua jf sasa wanaielewa kf na wengi hupita humu kimyakimya wanajifunza na KULIKE KIMOYOMOYO.
Kf imenipa marafiki wengi hadi wengine tunafanya project za maana baada ya kukutanishwa na kf.
Mimi huwa ninamsemo usemao "unaweza kuokota fedha jalalani"
Tuliitwa kila aina ya majina na kebehi eti kisa jina KAPUKU lkn leo wengi hupita humu na kujifunza, nimeshuhudia wakikiri kwa vinywa vyao.
Ni kweli hata nami natamani tukutane siku moja, I have nothing to hide hata niogope kukutana na mtu wa jf.
Cc mkongo
Shululu
Bitoz
Jimena
Sweetiepie
Lizzie
Beilly5
Manuu
Briz
Pat123
Mussoli5
Youngblood
Nawamis hawa viumbe wa kipindi kile
Si maanishi waliopo hawafai lahasha
Wakuu hapa twakumbuka mbaali sana mtuwie radhi. Tunaheshimu uwepo wenu sana
Transcend
Lee
Shunie
Sakayo
Husna
Fakalava
Bleesedhope
Mondray
Na wengine wengi
 
Cabblepots kuna siku alirudi kwa jina la Malcom lumumba, siku hizi simuoni.
Kiukweli sina mfano wa kufananisha zile siku.
Ni kweli kuna siku tulikuwa twatofautiana kwa muda lkn mwisho wa siku tulibaki WAMOJA, kf ilinifunza mengi kuanzia kuchukuliana kitabia na kukubaliana.
Tulionekana tunafanya mambo ya kijinga LAKINI nimegundua jf sasa wanaielewa kf na wengi hupita humu kimyakimya wanajifunza na KULIKE KIMOYOMOYO.
Kf imenipa marafiki wengi hadi wengine tunafanya project za maana baada ya kukutanishwa na kf.
Mimi huwa ninamsemo usemao "unaweza kuokota fedha jalalani"
Tuliitwa kila aina ya majina na kebehi eti kisa jina KAPUKU lkn leo wengi hupita humu na kujifunza, nimeshuhudia wakikiri kwa vinywa vyao.
Ni kweli hata nami natamani tukutane siku moja, I have nothing to hide hata niogope kukutana na mtu wa jf.
Cc mkongo
Shululu
Bitoz
Jimena
Sweetiepie
Lizzie
Beilly5
Manuu
Briz
Pat123
Nawamis hawa viumbe wa kipindi kile
Si maanishi waliopo hawafai lahasha
Wakuu hapa twakumbuka mbaali sana mtuwie radhi. Tunaheshimu uwepo wenu sana
Transcend
Lee
Shunie
Sakayo
Husna
Fakalava
Mondray
Na wengine wengi
Ila tukimeet tuwepo wote bila kujali huyu kaja lini sababu mwisho wa siku wote ni makapuku tu.
Halafu mwenyekiti wa weka picha umemsahau
Mzee wa leo katika historia orijino
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom