Asante mama mchuchu..YOELI 2
12.Lakini hata sasa asema BWANA ,Nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote,na kwa kufunga ,na kwa kulia ,na kwa kuomboleza
Asante Baba kutuamsha salama.tunaomba toba kwa yote tuliyokosa kwa mawazo,maneno na matendo uturehemu twakusihi.
Bariki MAKAPUKU wote mahali hapa ,tupe moyobwa kukutegemea na kukuamini na kila tunapoenda kinyume na mapenzi yako ,kwa matakwa yetu wenyewe hima tukurudievkwa kuomba,kutubu,kuomboleza ili utusamehe na tujute tusirudie yale runayozoea kutenda kwa kukusudia au bahati mbaya,tufundishe kusamehe wenzetu kama vile unavyotusamehe,asante kwa siku ya leo endelea kutuweka karibu tukufundushana kwa upendo na kuchukuliana.
fariji wafiwa,wajane,yatima ponya wagonjwa watie moyo waliovunjika moyo waendelee kukutegemea.
Asante BABA maana kila siku unasikia na kujibu maombi yetu.
Katika jina la YESU Amen
SIKU NJEMA WAPENDWA![]()
![]()
Poleee sanaNiliwahi kuumizwa sana na Patience123 na Sumbai utafikiri ni kweli. Nilitokea kumpenda sana utafikiri ipo siku tuta...aliponipiga kibuti na kuchukuliwa na sumbai iliniuma kweli.
Japo kwa sasa tu marafiki ni watu wazuri sana

Nshapoa mkuu, ndo maana niko sebuleniUlifikiri Al--Shaabab wamevamia JF
Pole sana
......
Mimi nitakaa karibu na Sakayo halafu nitampa lift kwenye guta langu hadi Mabibo Mabwawani
![]()
![]()
![]()
.....
Sijui kituHow about Bollards?
What is the difference?
Baadae ikawajeee ??Madame s tulianza kufahamiana kabla ya makapuku kabisa, tena urafiki wa kawaida humu JF
Girl: Baby kila sikukuu za eid zikifika wenzangu
wanapelekwa out na baby zao mara
serengeti, mara Zanzibar kwann
wewe hunipeleki?
Boy: sikukuu hii nitakulepeka
Girl: waooooo bby asante umeplan
kunipeleka wapi?
Boy: ntakupeleka KIBITI
Gil: nyoooo!! kafe mwenyewe
![]()

Mkuu heshima yako
Ni mie huyooo
Ameichoka amani![]()
![]()
![]()
Unataka ngumii