Makapuku Forum

Makapuku Forum

fd51f2082d9bd20bab51513820c0dea1.jpg
 
Wakuu nimependaa throw back japo kipindi kile nilikuwa napaogopa kapuku kinomaaaaa....id yangu ya mwanzo ila nilikuwa siitendei haki
Hahaha, wengi walipuuza sana na wengine walituona tu wagomvi na wakorofi, hii ilitokana na watu walikuwa wanaingia humu na kutukejeli so tulikuwa tunawa attack kwa umoja wetu hadi wengine walituogopa sana tukiwa kwenye majukwaa mengine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom