Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
Happy birthday dear live longEid Mubaraka wapenzi
Leo Siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwangu,nani pacha wangu hapa
Happy birthday dear live longEid Mubaraka wapenzi
Leo Siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwangu,nani pacha wangu hapa
Hapo si unajua ndio kipengele chetu usinisahau basiKeki wapiii sasa
YOELI 2
12.Lakini hata sasa asema BWANA ,Nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote,na kwa kufunga ,na kwa kulia ,na kwa kuomboleza
Asante Baba kutuamsha salama.tunaomba toba kwa yote tuliyokosa kwa mawazo,maneno na matendo uturehemu twakusihi.
Bariki MAKAPUKU wote mahali hapa ,tupe moyobwa kukutegemea na kukuamini na kila tunapoenda kinyume na mapenzi yako ,kwa matakwa yetu wenyewe hima tukurudievkwa kuomba,kutubu,kuomboleza ili utusamehe na tujute tusirudie yale runayozoea kutenda kwa kukusudia au bahati mbaya,tufundishe kusamehe wenzetu kama vile unavyotusamehe,asante kwa siku ya leo endelea kutuweka karibu tukufundushana kwa upendo na kuchukuliana.
fariji wafiwa,wajane,yatima ponya wagonjwa watie moyo waliovunjika moyo waendelee kukutegemea.
Asante BABA maana kila siku unasikia na kujibu maombi yetu.
Katika jina la YESU Amen
SIKU NJEMA WAPENDWA![]()
![]()

Ni kweli
He is on his way!Mwambie awahi
Huaminiii tena kwa niniSiamini
Asante BitozEnd![]()
.
.
.
.
.
Tukutane jioni/usiku kwenye 10 kibwa
Niwatakie mchana mwema
.........
Good namsubiriHe is on his way!
Ndio yani hadi washangaeSiku moja tuliamshee tena
Za eid mamyImekua hivi ilivo lee venye mwasema mapenzi mubasharra
Jaman au siruhusiwi kuchekaWewe cheka tuu..

Njema my wii sjui we na baba dZa eid mamy
Safi mamy karibu sanaNjema my wii sjui we na baba d
Kweli kabisa.
Poa Poa mdogo wanguHapo si unajua ndio kipengele chetu usinisahau basi