mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Nzuri Mrs T.... Eid MubarakSalama
Habari yako
Nzuri Mrs T.... Eid MubarakSalama
Habari yako
Morning shemMungu ni muaminifu
Habarini za asubuhi wana familia.... Naamini mmeamka salama.. Sio kwa kulala huko jamani...
Amkeni bhana
MorningTumeamka salama
Asante ankali kwa kuyapitiaAsante kwa magazeti ankali wake na Jimena
Ni kweli, ila huwa nakuja kila mara nipatapo wakati. Nimefurahi kukuona pia halafu nikakumbuka lile jina lako la wakati ule ambalo kila mtu hapa makapuku alikuwa halipendiPoa jimena, umepotea kweli kweli, najua umebanwa, upatapo nafasi tusalimie tu mpendwa, tumetoka mbalii. Nafurahi kukuona

Njema kabisa Eid pili mubarakSalama
Habari yako
It's holiday Lee kula maisha tuAsantee shululu kwa magazeti ...leo napiga pooooo UF ....mpaka kesho
AsanteeTUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO
Pamoja mzeewakungoa, baada ya mwezi mtukufu ndio umeonekanaAsante Shululu kwa vichwa vya habari za magazeti ya leo.
Morning LeeMorning shem
Morning mme mweeMorning
Morning mkuuMorning Lee
Pamoja sana, niliziona dalili saa 11, nikajua lile Pila Pila la mama D limekuleweshaAsantee shululu kwa magazeti ...leo napiga pooooo UF ....mpaka kesho

Morning Jimena ...uko poa ??It's holiday Lee kula maisha tu
Hahaha hilo jina lilinipa umaarufu, ilikuwa kiki tu, kuna member analitumia but kaongeza 2 mwishoni. Asante ulinipiga majiwe/mawe hadi nkaomba poo, nikaja na Kigli/quigley. I real miss those days, hakuna mfano wake JimenaNi kweli, ila huwa nakuja kila mara nipatapo wakati. Nimefurahi kukuona pia halafu nikakumbuka lile jina lako la wakati ule ambalo kila mtu hapa makapuku alikuwa halipendi![]()
![]()
![]()
![]()
Uko poa ??Morning mme mwee
Niko poa kabisa, D na mama yake wazima?Uko poa ??
Niko poa sana ki sikukuu zaidiMorning Jimena ...uko poa ??