Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuna eye-hole moja kwenye simu ila zipo nyingi pembeni

Ila kuna vitu watumiaji wa simu hatukijui..! And i want to put this clear kama na IT hapa ataongeza.

Ukipiga picha kwenye simu yako utajua kuwa wewe ndie mwenye accessibility tuu ila sio kweli..

Social netwerks zinanasa sana picha za kwenye simu zetu..! Ukipiga picha na kupost humu afu ukaifuta , hapo umeifuta kwako tuu..ila jf itakuwepo milele..

Nenda fb au insta kule..post picha! Baada ya muda ifute ile picha...ila owners wa fb na ista watakuwa na picha yako kwenye data base zao milele..


So hivyo vitu kama macho ni media ambazo ziko aware na picha/video unazopiga kwa simu yako..


I stand to be corrected
Kweli unachokisema ila nyongeza / maana nyingine

Kwa dunia ya sasa haina 'siri' ujaweza ukaona unafanya kitu peeke yako hoping hawakuoni kumbbe unaonwa haswa na wengi

Note
1.naked girl =siri
2 . smart phone= utandawazi /usiri
3.camera =tena imeoneshwa kama jicho ...ina maana haswa
 
Komredi kipepe,mzee meko(mshambuliaji hatri) na lodi lofa wengine nimewasAhau


Ha ahahahahah, umenikumbusha kitu kilichokuwa kikinifanya kumsaidia dada mmoja kazi za bustani ili tu niweze kusoma gazeti la sani miaka hiyo. Mmoja wa wachezaji hapo ni Mapung'o, Mundu, kobelo na Chepe

Lodilofa alikuwa ni kiungo wa borntown sawa na kina Pimbi, bob mazishi
 
b41e14c40aa62b5c0895d5acc16b7af1.jpg

.
.
.
Mwisho
.......
Hapa jamaa anaelekea ana kazi nyingi na ametumia nguvu nyingi kufanya hizo kazi..

Ukaangalia utaona makaratasi mengi mezani kwake.

Ana sticky note kibao hapo ubaoni, mara nyingi sticky note huwa ni kazi amabazo hazifanyiwa kazi so unaweza kuona ni kazi ngapi ziko pending hapo..

Mwili na nguo za jamaa vimezoofu sana, manake yuko exhausted..

Ndio maaana kichwa kinaonekana kuchomekwa kwenye chaji kwa ajili ya ku-rejuvanate power ya mwili...baada ya mwili kudhoofu kwa kazi kubwa mwili unahitaji nguvu ingine..


I stand to be corrected..!
 
WARUMI 8

31 Basi tuseme nini juu ya hayo MUNGU akiwa upande wetu ni nani atakuwa juu yetu?

32 Yeye asiyemwachilia Mwana wake mwenyewe bali alimtoa kwa ajili yetu sisi sote. Atakosaje kutukirimia mambo yote pamoja naye

33 Ni nani atakayewashitaki wateule wa MUNGU? MUNGU ndiye mwenye kuwahesabia haki

34 Ni nani. atakaye wahukumia adhabu? Kristo Yesu ndiye aliyekufa naam; na zaidi ya hayo amefufuka katika wafu yuko mkono wa kuume wa MUNGU tena ndiye anayetuombea

35Ni nani atakaye tutenga na upendo wa Kristo? Je! Ni dhiki au shida, au adha, au njaa, au uchi, au hatari, au upanga?

36 Kama ilivyoandikwa, ya kwamba, kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa, na tumehesabiwa kuwa kama kondoo wa kuchinjwa

37 Lakini katika mambo yote hayo tunashinda, zaidi ya kushinda, kwa yeye aliyetupenda

38 Wala yaliyo juu wala yaliyo chini wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenganisha na upendo wa MUNGU Ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu

MUNGU ANATUPENDA SANA NDIO MAANA TUPO MPAKA MUDA HUU HAKUNA CHA KUTUTENGANISHA NAE TUKAZE MWENDO TUMSHUKURU TUMPENDE ANATUPA KUSHINDA KILA WAKATI. MBARIKIWE MCHANA MWEMA
Amina. Asante mama mtumishi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom