Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Ndaga dadaNdumkafu kaka pole na mgonjwa vipi hali yake poleni
Anaendelea vizur nadhani Leo ataenda kazini
Ndaga dadaNdumkafu kaka pole na mgonjwa vipi hali yake poleni
Nimepigwa mkwara na mgonjwa, nahisi ameshaponaMmmmh
AmenAmen mama mchungaji
Ubarikiwe sana
Amepitiwa
Sijampata nilimuachia kazi binamu yakeUmeishampata shemeji yetu?
Sijampata nilimuachia kazi binamu yakeUmeishampata shemeji yetu?
AmenAsante kwa maombi na ile kusema tu unakuja yaani tayari viungo vimechangamka, yaani ninajihisi kupona na nimepoteza nguvu zangu kwenda kwa dokta usiku, ilhali wewe maneno yako tu tiba tosha
Nimepigwa mkwara na mgonjwa, nahisi ameshapona
Hahahaha kesi gani mkuuMama mchungaji leo umenunua kesi, ila kwa wewe tumekusamehe
Ila mwanao shunie atacheka sana
Njema za uzima karibuHabari za jumamosi
Salama za uzima karibuSwalama umu?
Kweli kabisa nimesoma mpaka nikasinzia nikasahau ni hadithi ndefu yaani mnisamehe kwa uzembe huu uzee huu sasaMama usiquote story yote ...naamini umepitiwa tu
Tv1 wataonyesha LIVE mechi zoteFIFA CONFEDERATION CUP
*Kila mechi ni fainali![]()
Hahahaha duh!...acha zako, mimi sijapona sema nimekataa wewe usiambatane na BH kuja kuniona. Na nimewatangazia ndugu zangu kuwa umeniroga, sasa ni juu yako kuongozana naye au kukumbana na ndugu zangu wenye hasira kali za mfungo
HajaponaaaNimepigwa mkwara na mgonjwa, nahisi ameshapona