Makapuku Forum

Makapuku Forum

Msanii ni kio cha jamii...

Ukiangalia picha vizuri jamaa yuko na gitaa manake ni mtunzi/ muimbaji wa mziki..

Ila usoni kwake kuna kioo ambacho kina picha ya audience/watazamaji ambao ni jamii..

Uso wa mtuu hutoa muonekano mpana wa mtuu hivyo umefanywa kama ndio kioo cha jamiii..

I stand to be corrected..!
Nyongezaa mkuu

Ukiangalia vyema mavazi kuna mkanganyiko ...ok audience inamtazama yeye lakin yeye anatoa picha gan

Angalia suruali na nguo ya juu
 
051b831e434e99c58371d37662715d1c.jpg
Kuna eye-hole moja kwenye simu ila zipo nyingi pembeni

Ila kuna vitu watumiaji wa simu hatukijui..! And i want to put this clear kama na IT hapa ataongeza.

Ukipiga picha kwenye simu yako utajua kuwa wewe ndie mwenye accessibility tuu ila sio kweli..

Social netwerks zinanasa sana picha za kwenye simu zetu..! Ukipiga picha na kupost humu afu ukaifuta , hapo umeifuta kwako tuu..ila jf itakuwepo milele..

Nenda fb au insta kule..post picha! Baada ya muda ifute ile picha...ila owners wa fb na ista watakuwa na picha yako kwenye data base zao milele..


So hivyo vitu kama macho ni media ambazo ziko aware na picha/video unazopiga kwa simu yako..


I stand to be corrected
 
Wengi tunaamini sana kile tunachokiona kuwa kipo sawa kiimtazamo ...hii picha kila kitu kinachooneka kinnaweza au kina maana yake ila ukiviangalia kwa pamoja in general meaning jibu au majibu yapo mengi...
1.sio kila tunachokiona kikiwasilishwa kipo sahih ...apa upotoshaji
2.media japo ndo chanzo kinachoaminika hivyo yatupasa kuvitumia haswa ipasavyo ...ile ncha inayochomoza sio kwamba yanaishia kwwa mmoja laa asha
3.ukiangalia vizur sura ya mtazamaji au mfatiliajii inaonesha kama yuko makini sana /au kakasirika na hii ina maana kubwa
 
Lol! Sijapona jamani, mbona mnainyanyapaa kusikia tu BH anakuja. Yanni fitna zinavyotembezwa hadi najihisi gundu. Eti kuna mwingine kajitolea kumsindikiza, aunt hii ni haki kweli hata kama ungekuwa wewe ndo unaumwa!!!

Anko wangu keshaandaa ulinzi, atakayejidai kumsindikiza tu ataishia getini maana nishachoka sasa, mtu asitembelewe imekuwa nongwa, tena ninaumwa jama
Pole binamu hope mama mchungaji anakaribia kufika tangia aage kuwa anakuja ni kamuda kdgo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom