Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Bora umemuonaaila shemela we ni mchochezi
Bora umemuonaaila shemela we ni mchochezi
Anataka nnhajanipatia pm mimi muulize
binamuuu mama mchuchu yupo njiani anakuja lakini mbona kama umepona
Msanii ni kio cha jamii...
Sitaki
hawezi ananzaje anavyonipenda
Akikupiga mitama mimi sipo
Sasa kakaKwenye red
= Barter
Maelezo yake nimeyaelewa
Umewaza vizuri
......


nimemuona Baba DBora umemuonaa
ebu muulize labda anataka kupiemiwaAnataka nn
Lol! Sijapona jamani, mbona mnainyanyapaa kusikia tu BH anakuja. Yanni fitna zinavyotembezwa hadi najihisi gundu. Eti kuna mwingine kajitolea kumsindikiza, aunt hii ni haki kweli hata kama ungekuwa wewe ndo unaumwa!!!
Anko wangu keshaandaa ulinzi, atakayejidai kumsindikiza tu ataishia getini maana nishachoka sasa, mtu asitembelewe imekuwa nongwa, tena ninaumwa jama
binamuuuSiku 2 hzi limepunguaBaridi vipi?
Salama mke wa pedeshee,mzima weyemke mwee za wewe
Mkuu vipi?
Ngoja ajee..hawezi ananzaje anavyonipenda
Wengi tunaamini sana kile tunachokiona kuwa kipo sawa kiimtazamo ...hii picha kila kitu kinachooneka kinnaweza au kina maana yake ila ukiviangalia kwa pamoja in general meaning jibu au majibu yapo mengi...
Asante kwa chakula cha roho mama,ubarikiwe piaWAFILIPI 4
1 Basi ndugu zangu, wapendwa wangu, ninawaonea shauku, furaha yangu, na taji yangu, hivyo simameni imara katika BWANA, wapenzi wangu.
4 Furahini katika BWANA siku zote tena nasema furahini
5 Upole wenu na ujulikane na watu wote BWANA yu karibu
6 Msijisumbue kwa neno lolote, bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru haja zenu na zijulikane na MUNGU
7 Na amani ipitayo akili zote itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu
MUWE NA JIONI NJEMA MBARIKIWE
![]()
![]()

Mzee gani?!Na yule mzee alikuwa mchawi?
Obe mzee wa saa na smartphoneHa ha ha ahaha, hata hiyo kupachika picha tu ingekuwa rahisi kila mmoja wetu angeweza. Si lazima uisome picha na uone kamainaweza kuwa na maana hapa jukwaani.
Unafanya kazi sana anko na tunaipenda, sio rahisi na ingekuwa ni hivyo hata mimi ningeweza, sema nilichonacho ni saa na simu ya tachi tu, sio simu ya kamera
Polee sana ila niamini kila kitu kipo sawaLol! Sijapona jamani, mbona mnainyanyapaa kusikia tu BH anakuja. Yanni fitna zinavyotembezwa hadi najihisi gundu. Eti kuna mwingine kajitolea kumsindikiza, aunt hii ni haki kweli hata kama ungekuwa wewe ndo unaumwa!!!
Anko wangu keshaandaa ulinzi, atakayejidai kumsindikiza tu ataishia getini maana nishachoka sasa, mtu asitembelewe imekuwa nongwa, tena ninaumwa jama