Makapuku Forum

Makapuku Forum

binamuuu mama mchuchu yupo njiani anakuja lakini mbona kama umepona


Lol! Sijapona jamani, mbona mnainyanyapaa kusikia tu BH anakuja. Yanni fitna zinavyotembezwa hadi najihisi gundu. Eti kuna mwingine kajitolea kumsindikiza, aunt hii ni haki kweli hata kama ungekuwa wewe ndo unaumwa!!!

Anko wangu keshaandaa ulinzi, atakayejidai kumsindikiza tu ataishia getini maana nishachoka sasa, mtu asitembelewe imekuwa nongwa, tena ninaumwa jama
 
face9a3a5a4155b73d5a95f1ba7786c2.jpg
Msanii ni kio cha jamii...

Ukiangalia picha vizuri jamaa yuko na gitaa manake ni mtunzi/ muimbaji wa mziki..

Ila usoni kwake kuna kioo ambacho kina picha ya audience/watazamaji ambao ni jamii..

Uso wa mtuu hutoa muonekano mpana wa mtuu hivyo umefanywa kama ndio kioo cha jamiii..

I stand to be corrected..!
 
Lol! Sijapona jamani, mbona mnainyanyapaa kusikia tu BH anakuja. Yanni fitna zinavyotembezwa hadi najihisi gundu. Eti kuna mwingine kajitolea kumsindikiza, aunt hii ni haki kweli hata kama ungekuwa wewe ndo unaumwa!!!

Anko wangu keshaandaa ulinzi, atakayejidai kumsindikiza tu ataishia getini maana nishachoka sasa, mtu asitembelewe imekuwa nongwa, tena ninaumwa jama
binamuuu
 
Wengi tunaamini sana kile tunachokiona kuwa kipo sawa kiimtazamo ...hii picha kila kitu kinachooneka kinnaweza au kina maana yake ila ukiviangalia kwa pamoja in general meaning jibu au majibu yapo mengi...
1.sio kila tunachokiona kikiwasilishwa kipo sahih ...apa upotoshaji
2.media japo ndo chanzo kinachoaminika hivyo yatupasa kuvitumia haswa ipasavyo ...ile ncha inayochomoza sio kwamba yanaishia kwwa mmoja laa asha
3.ukiangalia vizur sura ya mtazamaji au mfatiliajii inaonesha kama yuko makini sana /au kakasirika na hii ina maana kubwa
 
WAFILIPI 4

1 Basi ndugu zangu, wapendwa wangu, ninawaonea shauku, furaha yangu, na taji yangu, hivyo simameni imara katika BWANA, wapenzi wangu.

4 Furahini katika BWANA siku zote tena nasema furahini

5 Upole wenu na ujulikane na watu wote BWANA yu karibu

6 Msijisumbue kwa neno lolote, bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru haja zenu na zijulikane na MUNGU

7 Na amani ipitayo akili zote itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu

MUWE NA JIONI NJEMA MBARIKIWE
Asante kwa chakula cha roho mama,ubarikiwe pia
 
Ha ha ha ahaha, hata hiyo kupachika picha tu ingekuwa rahisi kila mmoja wetu angeweza. Si lazima uisome picha na uone kamainaweza kuwa na maana hapa jukwaani.

Unafanya kazi sana anko na tunaipenda, sio rahisi na ingekuwa ni hivyo hata mimi ningeweza, sema nilichonacho ni saa na simu ya tachi tu, sio simu ya kamera
Obe mzee wa saa na smartphone
 
Lol! Sijapona jamani, mbona mnainyanyapaa kusikia tu BH anakuja. Yanni fitna zinavyotembezwa hadi najihisi gundu. Eti kuna mwingine kajitolea kumsindikiza, aunt hii ni haki kweli hata kama ungekuwa wewe ndo unaumwa!!!

Anko wangu keshaandaa ulinzi, atakayejidai kumsindikiza tu ataishia getini maana nishachoka sasa, mtu asitembelewe imekuwa nongwa, tena ninaumwa jama
Polee sana ila niamini kila kitu kipo sawa

Vipi mama ashura kaondoka??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom