Makapuku Forum

Makapuku Forum

Asantee ..

Inshort kimtazamo ...jamaa anatamani kama kuna uwezekano angelibust kichwa chake (akili) kutokana na mazingira yaliyomzunguka (overload) ...

Also uwepo wa komputa unamaana kubwa ..yawezekana mtu anajituisha mzigo ambao ata hiyo computer ingelimsaidiaa


Naunga mkono mguu unabaki hapa hapa. Kutokana na hii ovaload unayoisema, ndiyo maana siku hizi maenergy drink yanazalishwa kila siku hebu tizama Rockstar drink n the likes. Kila kuchwa ni kahawa muda wote.
 
Msanii ni kio cha jamii...

Ukiangalia picha vizuri jamaa yuko na gitaa manake ni mtunzi/ muimbaji wa mziki..

Ila usoni kwake kuna kioo ambacho kina picha ya audience/watazamaji ambao ni jamii..

Uso wa mtuu hutoa muonekano mpana wa mtuu hivyo umefanywa kama ndio kioo cha jamiii..

I stand to be corrected..!
Nimekupata vizuri hapo
 
3686f0213302172523aed6a547ecce2b.jpg


Tuwatambuee hawa majamaa ...najua wengi tunamjua Madenge tu ila sio mbaya tukajikumbushaa ...nani alifatilia soka la hawa jamaa ...la kuandikwa ila mashabiki lukukii
Komredi kipepe,mzee meko(mshambuliaji hatri) na lodi lofa wengine nimewasAhau
 
Kavaa uhusika wa aina mbili binadamu na robot ...fikiria kwanza apo
Still bado kuna computer ...
Ukianggalia usoni lijamaa kama limepigwaa butwaa uku uso umelimitiwa na mbao sio fc wababe wa yanga

kwanza kutoonesha kioo cha komputa ...kwanza sisi hatujui kinachoendelea na yeye kwa uso tu hajui hakifanyachooo
 
Komredi kipepe,mzee meko(mshambuliaji hatri) na lodi lofa wengine nimewasAhau
Oooooh vizuriiiiii uko vizuri...nilileta hii picha asubuhi nikiwa na maana kabisa ni kweli wabongo tumekuwa wa kulalamika soka letu ata sisi hapa tumefanya hivo ...baadae naweka ngumu kumeza japo wachache wataelewa au kufatilia ila sisi ndo kapuku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom