Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
KaribuNatupia nukuu muda su mrefu
KaribuNatupia nukuu muda su mrefu
Kupitia Kwese sportsTv1 wataonyesha LIVE mechi zote
......
Asante mkuusina la ziada katika michezo na transfer complete![]()
Kwa udhamini wa BlessedHope na werrason..
Tuwe na weekend tulivu
Morning mkuu Mwifwa za uzima barikiwaMorning Makapuku
sina la ziada katika michezo na transfer complete![]()
Kwa udhamini wa BlessedHope na werrason..
Tuwe na weekend tulivu

Shekh chungu cha ngapi Leo??USAJILI ULIOKAMALIKA PALE UINGEREZA
![]()
Karibu T wa Sakayo za uzima? We miss youNatupia nukuu muda su mrefu
Mkuu Shedede za uzima ubarikiwe karibuWakuu mambo niaje
SwalamaaaaaaSwalama umu?
Nzuriii kiongoziiiHabari za jumamosi
KwemaVP humu
HahahaHajaponaaa
Asante kiongozi mambo yanakwendaje ?Salama za uzima karibu
Upo?Hahaha
Aisee nakuona mtaasisi unanikataa nitakuja tu kukuletea dawa ya kukuponya kisha nitakuacha umalizie dozi kwa nafasi...acha zako, mimi sijapona sema nimekataa wewe usiambatane na BH kuja kuniona. Na nimewatangazia ndugu zangu kuwa umeniroga, sasa ni juu yako kuongozana naye au kukumbana na ndugu zangu wenye hasira kali za mfungo
HahahaNawashangaa hawa wanaokulaumu kwa kuquote, yaani kwa vile ni wewe unaruhusiwa kuquote tangu part one hadi hii ya jana.
Tena kama vipi sema neno moja tu nami niiquote halafu uniquote urudie kusoma
Umeongeaaa vyemaaaaAisee nakuona mtaasisi unanikataa nitakuja tu kukuletea dawa ya kukuponya kisha nitakuacha umalizie dozi kwa nafasi
Ruksa kwa udhamini mnono wa binamu mutu ya totozNawashangaa hawa wanaokulaumu kwa kuquote, yaani kwa vile ni wewe unaruhusiwa kuquote tangu part one hadi hii ya jana.
Tena kama vipi sema neno moja tu nami niiquote halafu uniquote urudie kusoma