Makapuku Forum

Makapuku Forum

wanamtamani ila hawana uwezo wa kuvunja mkataba wa Ajibu pale Simba
Ajibu hana mkataba wowote Simba(mkataba wake unaisha July) hivyo ndo anaweza kusaini popote
Hivyo havunji mkataba wala hauzwi anakuja tu BURE

Akitua Jangwani ni uzembe wa viongozi wa Simba kutomuongezea mikataba mapema yatakuwa km ya Amissi Tambwe
Tusubiri tuone
......
 
3686f0213302172523aed6a547ecce2b.jpg


Tuwatambuee hawa majamaa ...najua wengi tunamjua Madenge tu ila sio mbaya tukajikumbushaa ...nani alifatilia soka la hawa jamaa ...la kuandikwa ila mashabiki lukukii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom