Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Mungu awajalie shunie Na Lee ndoa yenye miaka mingi zaidi ili mvunje record
sisi je?Mungu awajalie shunie Na Lee ndoa yenye miaka mingi zaidi ili mvunje record
sisi je?Ameni Mama Mchuchu Barikiwa piaMITHALI 22
4.Thawabu ya unyenyekevu ambao ni kumcha BWANA .Ni utajiri ,na heshima,nayo ni uzima.
MUNGU AWABARIKI SIKU YA LEO AWAPONYE,AWAFANIKISHE AWAEPUSHE NA HATARI ZOTE ZA MWILI NA ROHO MUWE NA SIKU NJEMA YENYE BARAKA TELE![]()
![]()
![]()
![]()
Pedesheee LeeeNimeamshwa swalamaaa
Hny umeshindajeAmen
Niko poa kabisa my swiHny umeshindaje
Karibu sanaAmeni Mama Mchuchu Barikiwa pia
Amen..!! Uwe na siku njema..Nuko vizuri Mungu yu mwema barikiwa
MIKA 7

AmenMIKA 7
18 Ee MUNGU ni nani aliye kama wewe? Wewe wasamehe dhambi za watu wako waliobaki wala huyaangalii makosa yao Hasira yako haidumu milele ila wapendelea zaidi. kutuonesha fadhili zako
19. Utatuhurumia tena utafutilia mbali dhambi zetu utazitupa zote katika vilindi vya bahari
20 Utaonesha uaminifu wako na rehema zako kwa wazawa wa Abraham na Yakobo, kama ulivyowaahidi wazee wetu tangu zamani
WAPENDWA MUNGU ANATUPENDA SANA NDIO MAANA TUPO HAPA NA TUNASOMA UJUMBE HUU TUMRUDIE YEYE SIKU ZOTE TUJUTE NA TUTUBU DHAMBI ZETU ANASAMEHE NI AHADI YAKE KWETU WATOTO WAKE MUWE NA MCHANA MWEMA MBARIKIWE![]()
![]()
AmeniTukubali tusikubali TV zimechangia kwa kiasi kikubwa kushuka kwa maadili,malezi kuwa njia panda watoto wanalelewa na TV,NA ZIPO SERIESVzinafundishavumagharibi ujeuri,ubabe,ushoga,uhuni,ujambazi,matumizi mabaya ya madawa,watoto kutoshiriki,kazi za nyumbani....hakika Mungu atusaidie wazazi kujua mbinu mbadala za kuwajenga watoto maana hata ukiwachapa hawaelewi mtoto anaweza kukupeleka polisi...ndiyo kuna watu wamepelekwa polisibna watoto wa kuwazaaa ..Tuombe Roho Mtakatifu atuongoze![]()

Amen, Asante kwa neno mama mchungajiMIKA 7
18 Ee MUNGU ni nani aliye kama wewe? Wewe wasamehe dhambi za watu wako waliobaki wala huyaangalii makosa yao Hasira yako haidumu milele ila wapendelea zaidi. kutuonesha fadhili zako
19. Utatuhurumia tena utafutilia mbali dhambi zetu utazitupa zote katika vilindi vya bahari
20 Utaonesha uaminifu wako na rehema zako kwa wazawa wa Abraham na Yakobo, kama ulivyowaahidi wazee wetu tangu zamani
WAPENDWA MUNGU ANATUPENDA SANA NDIO MAANA TUPO HAPA NA TUNASOMA UJUMBE HUU TUMRUDIE YEYE SIKU ZOTE TUJUTE NA TUTUBU DHAMBI ZETU ANASAMEHE NI AHADI YAKE KWETU WATOTO WAKE MUWE NA MCHANA MWEMA MBARIKIWE![]()
![]()
nimecheka sana shikamoo mama yangu kweli mukongo umemshika mama yangu pabaya aisee ni nini umempa lakini mama ake shunie
Hi mke mweee uliadimika kweliMe cjambommeakaje jamaan me nawasalimia tu kaka mndali nakuona za masiku mingiiii

Nenda kwenye uzi hapo pembeni ukachukue LIKEAmen, Asante kwa neno mama mchungaji
Unauliza jeneza msibani?Mbona kama jamaa pembeni kashika kopo la mafuta ?????