BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Haya wee ila shukran mkuuView attachment 524823Kwa udhamini mnono wa Aganza niwatakie siku njema
Non Gorvernmental Organization..inaandika maandiko..projects inaomba ruzuku kwa wafadhili policy zikiruhusu wanapewa pesa wafanye kazi wanatoa ripoti ya waliyofanya ya shughuli na fedha...Twaweza huwa wanajitolea au ??
Weee....shemeji yangu huyuuuKwema kabisa na hope uko poa ....
Kiukweli natambua uwepo wa Husna kabisaaaaaaa ....ilianza kama mchicha na atimaye mbuyu huyooooooo.....lakin najua kafanya maamuz sahihi ...Aganza naomba umwache kwanza make akichanganya biashara na wewe navokujua mtaji wetu mtaumalizaa ...nina hisa![]()
Peremende namsubiria binamu
Labda wamegundua inauzaaHili gazeti limeifanya simulizi sasa ishu za korea kila toleo wanayo hii story

Basi usijibu mkuu kausha tuSorry mpendwa wa binamu , unataka nilijibu kinadharia au kiuhalisia??

Vip tena shemeki, pamoja sanaHaya wee ila shukran mkuu
Hata mi naonaaaHatukoseagii ...![]()
![]()
Sijui mawazo yako yamekutuma nini ,,,
hata mi cjui yalichonitumaNo yaani namaanisha ni mtu Wa Congo ?! Yaani sio mtz mwenzetuYaaan wewe si angelikuwa na BH
Ndio ujibu sasa

Mkiaandaa ripoti ya 3 ya makinikiaTulikuwa na kikao cha kamati ya masaa 48

Ndio binamu wakoooSi binamu wanguu

Wivu Wa nn kwa shemeji?!Wivu wakoo
Huyooo huyooo![]()
kumbe mi ndio mchawi wake ohoooooo
![]()
![]()
![]()
NzuriiiHabari za swaumu makapuku family
MornMorning family
UmesogeaaaMfungo 21 leo, Ramadhan Kareem