BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Asante!Ilitokana na kile kilichotokea huko Sauzi Soweto Uprising ambayo imeshaelezewa huko nyuma![]()
Hivyo Afrika nzima huungana kuwaenzi pamoja na watoto wengine wote wa Kiafrika wanaopitia masahibu mbalimbali![]()
Moja kati ya novel bora za muda wote kumzungumzia mtoto wa Afrika
......
......
ShukraniNawe pia mkuu
Miss you more mamy akeeUbarikiwe Sakayobza uzima miss you sana![]()
![]()
Kweli mkuu hali mbaya wanahakikisha hakuna jinsia huku kwetu..hovyo kabisaNi kweli kabisa, pia usiruhusu watoto kuangalia cartoon, zinaharibu sana watoto na zinachochea mapenzi ya jinsia moja
Kweli kabisa mama mchungajiPoleee anawaza mama tu mwanangu
AsanteKweli mkuu pole
Wapi hiyo?
Sijaelewa mkuu unaweza ukaweka angalau maelezo?pole sana hawa watu kwa wanayopitia Mungu awasaidie
Inaumiza sanaNi kweli
Mweusi ataendelea kunyanyasika tu
Mfano Wazungu wanesusa kucheza soka matokey take Bafan abafana imekuwa maandazi
Wakati Sauzi anachukua AFCON timu ilikuwa na weupe akina Mark Tish na wenzie
Wazungu wanacheza rugby(mchezo wa matajiri) na wanafanya vizuri kimataifa
......
Pole sana ni wapi?
Mbona kama jamaa pembeni kashika kopo la mafuta ?????
Ooh Lord save these souls
Nzur, namshukuru MunguUbarikiwe sana Dingimtoto za uzma
Poleni sana,pole kwa kufiwa mkuu Mungu akutie nguvuLast update 9:40
12:45 Notification Updated 10 people's death and 51 injured. 12 serious. Just 88
people aboard. Just flipped the bus near ḍhaliyārā. Chintpurni forehead tech jvālājī were going śrad'dhāluu. All devotees being
told from Amritsar. Amritsar is private
just.

Yaani umenikumbusha mbali sanasana AsanteIlitokana na kile kilichotokea huko Sauzi Soweto Uprising ambayo imeshaelezewa huko nyuma![]()
Hivyo Afrika nzima huungana kuwaenzi pamoja na watoto wengine wote wa Kiafrika wanaopitia masahibu mbalimbali![]()
Moja kati ya novel bora za muda wote kumzungumzia mtoto wa Afrika
......
......

duuh! hapana sio kwa starehe hii!!Show off nyingine ni hopeless. Haya maji ya mafuriko ni masafi kweli kiasi cha kustarehemo namna hii?![]()
Nuko vizuri Mungu yu mwema barikiwaNzur, namshukuru Mungu
Blessedhope sijui wewe ?