Makapuku Forum

Makapuku Forum

Google na Wikipedia zipo shem. Search: Solar flares and Earth's magnetic field, What will happen to our Sun? The end of planet Earth...Ukikosa huko nenda Discovery, Science na hata History Channels ukajisomee.

Ni uzembe wa kujisomea tu lakini kwa sasa maarifa yapo viganjani mwetu. Kumekuchaje?


Kumekucha poa tu
 
Katika dondoo za bbc. .


Polisi jijini London nchini Ungereza wamesema ni vigumu kutambua miili ya watu waliokufa katika tukio la ajali ya moto ulioteketeza jengo la ghorofa Magharibi mwa mji huo siku ya Jumanne kutokana na kuharibika vibaya.

Ziwa Tanganyika limetajwa kuwa ziwa la mwaka lililo hatarini.Wanasayansi wanasema, shughuli za binadamu kama vile ukataji miti pembezoni mwa ziwa, umwagaji wa sumu kutoka viwandani na hata kutoka kwa makazi ya watu kunaendelea kuathiri samaki na viumbe vingine vilivyomo ziwani humo.

Maendeleo ya sayansi na teknologia kama vile kuwepo kwa vipindi mbalimbali vya Televisheni, yanatajwa kuchangia kuvunjika kwa maadili ya watoto katika nchi za Afrika mashariki.

Kenya yakabiliwa na upungufu mkubwa wa mahindi.Wakulima wameishiwa na akiba, hifadhi ya serikali imeisha, na mahindi yanayoagizwa kutoka nchi za nje hayakidhi mahitaji.

Utasikia mwimbaji mashuhuri wa Kenya, Linet Munyali kwa jina la kisanii Size Eight, akizungumzia wimbo alioutunga juu ya maisha magumu aliyoyapitia awali.
Kenya walitegemea sana mahindi ya Tanzania nadhani yamezuiwa sana
 
Katika dondoo za bbc. .


Polisi jijini London nchini Ungereza wamesema ni vigumu kutambua miili ya watu waliokufa katika tukio la ajali ya moto ulioteketeza jengo la ghorofa Magharibi mwa mji huo siku ya Jumanne kutokana na kuharibika vibaya.

Ziwa Tanganyika limetajwa kuwa ziwa la mwaka lililo hatarini.Wanasayansi wanasema, shughuli za binadamu kama vile ukataji miti pembezoni mwa ziwa, umwagaji wa sumu kutoka viwandani na hata kutoka kwa makazi ya watu kunaendelea kuathiri samaki na viumbe vingine vilivyomo ziwani humo.

Maendeleo ya sayansi na teknologia kama vile kuwepo kwa vipindi mbalimbali vya Televisheni, yanatajwa kuchangia kuvunjika kwa maadili ya watoto katika nchi za Afrika mashariki.

Kenya yakabiliwa na upungufu mkubwa wa mahindi.Wakulima wameishiwa na akiba, hifadhi ya serikali imeisha, na mahindi yanayoagizwa kutoka nchi za nje hayakidhi mahitaji.

Utasikia mwimbaji mashuhuri wa Kenya, Linet Munyali kwa jina la kisanii Size Eight, akizungumzia wimbo alioutunga juu ya maisha magumu aliyoyapitia awali.
Poleni Uingereza kwa ajalibya moto RIP MAREHEMU WOTE
 
Katika dondoo za bbc. .


Polisi jijini London nchini Ungereza wamesema ni vigumu kutambua miili ya watu waliokufa katika tukio la ajali ya moto ulioteketeza jengo la ghorofa Magharibi mwa mji huo siku ya Jumanne kutokana na kuharibika vibaya.

Ziwa Tanganyika limetajwa kuwa ziwa la mwaka lililo hatarini.Wanasayansi wanasema, shughuli za binadamu kama vile ukataji miti pembezoni mwa ziwa, umwagaji wa sumu kutoka viwandani na hata kutoka kwa makazi ya watu kunaendelea kuathiri samaki na viumbe vingine vilivyomo ziwani humo.

Maendeleo ya sayansi na teknologia kama vile kuwepo kwa vipindi mbalimbali vya Televisheni, yanatajwa kuchangia kuvunjika kwa maadili ya watoto katika nchi za Afrika mashariki.

Kenya yakabiliwa na upungufu mkubwa wa mahindi.Wakulima wameishiwa na akiba, hifadhi ya serikali imeisha, na mahindi yanayoagizwa kutoka nchi za nje hayakidhi mahitaji.

Utasikia mwimbaji mashuhuri wa Kenya, Linet Munyali kwa jina la kisanii Size Eight, akizungumzia wimbo alioutunga juu ya maisha magumu aliyoyapitia awali.
Hongera Size Eight
 
Kwema kabisa na hope uko poa ....

Kiukweli natambua uwepo wa Husna kabisaaaaaaa ....ilianza kama mchicha na atimaye mbuyu huyooooooo.....lakin najua kafanya maamuz sahihi ...Aganza naomba umwache kwanza make akichanganya biashara na wewe navokujua mtaji wetu mtaumalizaa ...nina hisa

Peremende namsubiria binamu
Aisee umenichekesha kweli. Eti mtaji tutaumaliza. Siyo kweli. Mwambie mi nitamwongezea mtaji bana na nitaifanya biashara yake iwe modern, na hata ikibidi International mpaka huku Koromije ifike. Hisa zako zitapanda maradufu!
 
Google na Wikipedia zipo shem. Search: Solar flares and Earth's magnetic field, What will happen to our Sun? The end of planet Earth...Ukikosa huko nenda Discovery, Science na hata History Channels ukajisomee.

Ni uzembe wa kujisomea tu lakini kwa sasa maarifa yapo viganjani mwetu. Kumekuchaje?
Hizo chanel zina maarifa ya hali ya juu sana
 
Katika dondoo za bbc. .


Polisi jijini London nchini Ungereza wamesema ni vigumu kutambua miili ya watu waliokufa katika tukio la ajali ya moto ulioteketeza jengo la ghorofa Magharibi mwa mji huo siku ya Jumanne kutokana na kuharibika vibaya.

Ziwa Tanganyika limetajwa kuwa ziwa la mwaka lililo hatarini.Wanasayansi wanasema, shughuli za binadamu kama vile ukataji miti pembezoni mwa ziwa, umwagaji wa sumu kutoka viwandani na hata kutoka kwa makazi ya watu kunaendelea kuathiri samaki na viumbe vingine vilivyomo ziwani humo.

Maendeleo ya sayansi na teknologia kama vile kuwepo kwa vipindi mbalimbali vya Televisheni, yanatajwa kuchangia kuvunjika kwa maadili ya watoto katika nchi za Afrika mashariki.

Kenya yakabiliwa na upungufu mkubwa wa mahindi.Wakulima wameishiwa na akiba, hifadhi ya serikali imeisha, na mahindi yanayoagizwa kutoka nchi za nje hayakidhi mahitaji.

Utasikia mwimbaji mashuhuri wa Kenya, Linet Munyali kwa jina la kisanii Size Eight, akizungumzia wimbo alioutunga juu ya maisha magumu aliyoyapitia awali.
Tukubali tusikubali TV zimechangia kwa kiasi kikubwa kushuka kwa maadili,malezi kuwa njia panda watoto wanalelewa na TV,NA ZIPO SERIESVzinafundishavumagharibi ujeuri,ubabe,ushoga,uhuni,ujambazi,matumizi mabaya ya madawa,watoto kutoshiriki,kazi za nyumbani....hakika Mungu atusaidie wazazi kujua mbinu mbadala za kuwajenga watoto maana hata ukiwachapa hawaelewi mtoto anaweza kukupeleka polisi...ndiyo kuna watu wamepelekwa polisibna watoto wa kuwazaaa ..Tuombe Roho Mtakatifu atuongoze
 
Tukubali tusikubali TV zimechangia kwa kiasi kikubwa kushuka kwa maadili,malezi kuwa njia panda watoto wanalelewa na TV,NA ZIPO SERIESVzinafundishavumagharibi ujeuri,ubabe,ushoga,uhuni,ujambazi,matumizi mabaya ya madawa,watoto kutoshiriki,kazi za nyumbani....hakika Mungu atusaidie wazazi kujua mbinu mbadala za kuwajenga watoto maana hata ukiwachapa hawaelewi mtoto anaweza kukupeleka polisi...ndiyo kuna watu wamepelekwa polisibna watoto wa kuwazaaa ..Tuombe Roho Mtakatifu atuongoze
Kweli kabisa mama mchungaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom