BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Amen mgonjwa ameamkaje?Huruma Ya Mungu itawaleAmen dada ubarikiwe
Hahahah aliitoa tu
Hongera zao ni neema kubwa,RIP KARAM CHAND
Very true
I see,waliruka tena?
Siku hizi dola 500 tu wanakuwekea rangi yo yote unayotaka tena kwa lasers. Kwa wazungu blue eyes ni muhimu sana...Binadamu kamwe haridhiki na alivyo!
Amen Mungu ni mwema asante LeeWakuu kumekuchwaa swalamaa kabisa na kila aliyebahatika kuipata pumzi ya leo bhasi vyema amshukuru Muumba wake ...
Soon UF

UbarikiweYote kwa yote tuko pamoja wakuu
Muwe na usiku tulivu
Amen Mungu akubarikiMama mchungaji ahsante kwa neno la uzima
Ya BABAMama unashabikia timu gani?
HakikaAsante kushukuru BH ewe wangu wa moyoni ila kimwili uko mbali nami
Kuna kitengo cha NASA ambacho kazi yake ni kusikiliza sauti ya jua na kuangalia kwa umakini activities zote na hasa miripuko ya solar flares. Kama zikiripuka kwa wingi na makalikyulesheni yao yakaonyesha kuwa solar wind inaweza kuzisafirisha mpaka huku duniani na zina nguvu kiasi kwamba magnetic field ya dunia inaweza kuelemewa, basi wanajiandaa kuzima sattelites zao za kijeshi na ikiwezekana hata mfumo wa umeme (electric grid) ili kuzuia usikaangwe na na hizo solar flares.
Nimeamshwa swalamaaaUmeamkaje mr peremende vs watoto wakali
Jambo la kherHakika kumekucha salama
Asante kwa chakula cha roho mama mchungajiMITHALI 22
4.Thawabu ya unyenyekevu ambao ni kumcha BWANA .Ni utajiri ,na heshima,nayo ni uzima.
MUNGU AWABARIKI SIKU YA LEO AWAPONYE,AWAFANIKISHE AWAEPUSHE NA HATARI ZOTE ZA MWILI NA ROHO MUWE NA SIKU NJEMA YENYE BARAKA TELE![]()
![]()
![]()
![]()
Sindano zenyewe kaziweka kwa selotepu. Mabitoz si ajabu walikuja na fimbo tu waka- clear na kujitosa ndani. Ila daktari yuko very creative...I see,waliruka tena?
Very true ...shukran kwa julisho murua kabisaaKuna kitengo cha NASA ambacho kazi yake ni kusikiliza sauti ya jua na kuangalia kwa umakini activities zote na hasa mripuko wa solar flares. Kama zikiripuka kwa wingi na makalikyulesheni yao yakaonyesha kuwa solar wind inaweza kuzisafirisha mpaka huku duniani na zina nguvu kiasi kwamba magnetic field ya dunia inaweza kuelemewa, basi wanajiandaa kuzima sattelites zao za kijeshi na ikiwezekana hata mfumo wa umeme (electric grid) ili kuzuia usikaangwe na na hizo solar flares.
Wanasema kajua ketu haka ndo sasa kameingia ujana na baada ya miaka bilioni 4 hivi ijayo katafikia uzee na kataishiwa na mafuta yake (Hydrogen na Helium). Kama Yesu Atakuwa bado hajarudi basi ndo utakuwa mwisho wa dunia na visayari vilivyo karibu karibu hapo. Hellish ending!

AmenMITHALI 22
4.Thawabu ya unyenyekevu ambao ni kumcha BWANA .Ni utajiri ,na heshima,nayo ni uzima.
MUNGU AWABARIKI SIKU YA LEO AWAPONYE,AWAFANIKISHE AWAEPUSHE NA HATARI ZOTE ZA MWILI NA ROHO MUWE NA SIKU NJEMA YENYE BARAKA TELE![]()
![]()
![]()
![]()