Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Asante nashukuruKaribu sana
Asante nashukuruKaribu sana
Nenda kwenye uzi hapo pembeni ukachukue LIKE
Zitakusaidia uwe maarufu kumzidi Ngedere Ungabure
![]()
![]()
![]()
.....

Nenda kwenye uzi hapo pembeni ukachukue LIKE
Zitakusaidia uwe maarufu kumzidi Ngedere Ungabure
![]()
![]()
![]()
.....

Alichanganya, alikuwa bado anaota![]()
![]()
mume wngu mamayko?
Mnacheka nini sasa?
jamaan nilijua mama angu shemelaAlichanganya, alikuwa bado anaota
nafurahi kusikia hivyo mke mweeMe cjambo![]()
![]()
nisameheni jamaan maneno yale nimeyazoea kusikia kwa mama yangu tu![]()
![]()
mume wngu mamayko?
acha tu mke mwee vipi lakini unaendeleaje![]()
![]()
![]()
Hi mke mweee uliadimika kweli
MIKA 7
18 Ee MUNGU ni nani aliye kama wewe? Wewe wasamehe dhambi za watu wako waliobaki wala huyaangalii makosa yao Hasira yako haidumu milele ila wapendelea zaidi. kutuonesha fadhili zako
19. Utatuhurumia tena utafutilia mbali dhambi zetu utazitupa zote katika vilindi vya bahari
20 Utaonesha uaminifu wako na rehema zako kwa wazawa wa Abraham na Yakobo, kama ulivyowaahidi wazee wetu tangu zamani
WAPENDWA MUNGU ANATUPENDA SANA NDIO MAANA TUPO HAPA NA TUNASOMA UJUMBE HUU TUMRUDIE YEYE SIKU ZOTE TUJUTE NA TUTUBU DHAMBI ZETU ANASAMEHE NI AHADI YAKE KWETU WATOTO WAKE MUWE NA MCHANA MWEMA MBARIKIWE![]()
![]()

kweli mama nilijua wewe tu wanisamehePoleee anawaza mama tu mwanangu