BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Njema za uzima? Jumapili njemaMama mchungaji za jumapili
Njema za uzima? Jumapili njemaMama mchungaji za jumapili
Habari yako mkuu faza mtoto
AminaLUKA 12
32."Msiogope, enyi kundi dogo! Maana BABA yenu amependa kuwapa ufalme.
NAWATAKIA SIKU NJEMA, JUMAPILI YENYE BARAKA![]()
![]()
![]()
Pole dear Mungu akuponyePoa
Mie naumwa jamani, Ngoja niende home....
Baadae
Ngoja niitafuteNdio
ndio mana shemela nakukubali sana we muelewa sana na hupindishi pindishiNakukubali sana, nilipewa task hiyo niifanye nikaifanya, sikujibu kwa wakati sababu nilikuwa na mizunguko
shululuMtaje
Vizuri sanaMarahaba namshukuru Mungu mzima, naye mzima
Hahaha hivi vituko ni mpaka kwa shem au ni huku tu
Ulisemea nafsi yakoNimemanisha shululu uliyemquote
Amina mamy..Pole dear Mungu akuponye
Nimekuita mahali bhanandio mana shemela nakukubali sana we muelewa sana na hupindishi pindishi
Kisaikolojia zaidiHili angalizo la kipanya hili limekaaje hili? Lina misingi yo yote katika Bayolojia, Saikolojia na kimaumbile au limejikita katika mazoea ya kitamaduni tu? Ni kweli haiwezekani kuwa na mwanamke mmoja tu? Is monogamy a sham?![]()
Sasa bagheshi unanipigia ndogo ndogo kwa dadaangu?..... Dadaangu huyo ujue... Mi namuheshimu sana.Endelea kupambana kamanda. Hata kama ni kukuna nazi we kuna tu. Tena hawa wa kuoza hawa wakioza wanaoza kweli kweli. Ukifanikiwa kumbadilisha msimamo tu kwisha kazi. Usije ukasahau kuleta mrejesho![]()

Sawa nitapitia mkuuLeo imewekwa
Hivi hilo jukwaa la 18+ lipo kweli?Ndo shida ya kujifichaficha
Mi mtu ninayemwamini na urafiki wetu kupitiliza huwa nampa #
Maana humu JF huwa "sifabyi ukichaa,kutokana watu,kupost Jukwaa la wakubwa na mauzauza mengine
Zaidi napendelea kuchat kiutani,kuabzisha thread za kiburudani mfano Maajabu ya Joto City,Vituko Uswahilini,Chimbuko la Panya Road & Vigodoro n.k
Hivyo sina hofu ya kutekwa wala mtu kushangaa maisha ninayoishi siku tukikutana
Karibu Uswahilini kwetu Mabibo Beach
![]()
![]()
![]()
........
Siyo "couple za humu" kuna watu ni mapenzi kweli mdau
Endelea kung'aa tu sharubu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
......

Ila nimeshangaa mzee wa kuvizia alikupiga chenga akapiga 200k kiulainiAsante mkuu Nyagei
Umenielewa vibaya mkuu..... Sina maana hiooooUna uzoefu na haya mambo eeh! Kuna mtu sasa umempachika udada. Kumbe dume zima upo wakuna nazi. Ole wake yule jamaa akikudharau na kukuona bwege. Atakuta mtetea si wake♂️
♂️
♂️