Makapuku Forum

Makapuku Forum

eb325995fd5971ea47dfd2bba016e6d8.jpg
Hahaha hivi vituko ni mpaka kwa shem au ni huku tu
 
Ndo shida ya kujifichaficha
Mi mtu ninayemwamini na urafiki wetu kupitiliza huwa nampa #
Maana humu JF huwa "sifabyi ukichaa,kutokana watu,kupost Jukwaa la wakubwa na mauzauza mengine
Zaidi napendelea kuchat kiutani,kuabzisha thread za kiburudani mfano Maajabu ya Joto City,Vituko Uswahilini,Chimbuko la Panya Road & Vigodoro n.k
Hivyo sina hofu ya kutekwa wala mtu kushangaa maisha ninayoishi siku tukikutana
Karibu Uswahilini kwetu Mabibo Beach

........
Hivi hilo jukwaa la 18+ lipo kweli?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom