Makapuku Forum

Makapuku Forum

b679bf5958f36aa0e7b7ef7dffa0b26c.jpg
22b1500267a9b2c4d4f6169784ab72e8.jpg
 
Jamaan wenye no za mama mchuchu hivi anaendeleaje mama yangu sijamuona kalibia siku ya pili hii Mungu amtunze
Ndo shida ya kujifichaficha
Mi mtu ninayemwamini na urafiki wetu kupitiliza huwa nampa #
Maana humu JF huwa "sifabyi ukichaa,kutokana watu,kupost Jukwaa la wakubwa na mauzauza mengine
Zaidi napendelea kuchat kiutani,kuabzisha thread za kiburudani mfano Maajabu ya Joto City,Vituko Uswahilini,Chimbuko la Panya Road & Vigodoro n.k
Hivyo sina hofu ya kutekwa wala mtu kushangaa maisha ninayoishi siku tukikutana
Karibu Uswahilini kwetu Mabibo Beach

........
 
Ndo shida ya kujifichaficha
Mi mtu ninayemwamini na urafiki wetu kupitiliza huwa nampa #
Maana humu JF huwa "sifabyi ukichaa,kutokana watu,kupost Jukwaa la wakubwa na mauzauza mengine
Zaidi naendelea kuchat kiutani,kuabzisha thread za kiburudani mfano Maajabu ya Joto City,Vituko Uswahilini,Chimbuko la Panya Road & Vigodoro
Hivyo sina hofu ya kutekwa wala mtu kushangaa maisha ninayoishi siku tukikutana
Karibu Uswahilini kwetu Mabibo Beach

........
Kweli ujue watu mnaoaminiana mnapeana no me nikipotea mumtafute lee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom