Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Ikiisha top 10Mpaka sasa bado
Ikiisha top 10Mpaka sasa bado
Kweli sio kawaida yakeeJamaan wenye no za mama mchuchu hivi anaendeleaje mama yangu![]()
sijamuona kalibia siku ya pili hii Mungu amtunze
![]()
Itakuja tu ondoa shakaMpaka sasa bado
Kweli hajaonekana siku mbili hiziJamaan wenye no za mama mchuchu hivi anaendeleaje mama yangu![]()
sijamuona kalibia siku ya pili hii Mungu amtunze
![]()
Thanks bitozEnd![]()
....
Mpaka liniAcha anyonye manyonyo ni yake
ThanksEnd![]()
....
akyanani! hizi couple za humu zinavyojua kubebishana ni hatari!
huu mchezo unaoendelea humu hauitaji wivu kabisa!
Hongereni wote!

Mutations hii balaa
duuh! dunia ina mambo yake!
Ndo shida ya kujifichafichaJamaan wenye no za mama mchuchu hivi anaendeleaje mama yangu![]()
sijamuona kalibia siku ya pili hii Mungu amtunze
![]()
Kweli ujue watu mnaoaminiana mnapeana no me nikipotea mumtafute leeNdo shida ya kujifichaficha
Mi mtu ninayemwamini na urafiki wetu kupitiliza huwa nampa #
Maana humu JF huwa "sifabyi ukichaa,kutokana watu,kupost Jukwaa la wakubwa na mauzauza mengine
Zaidi naendelea kuchat kiutani,kuabzisha thread za kiburudani mfano Maajabu ya Joto City,Vituko Uswahilini,Chimbuko la Panya Road & Vigodoro
Hivyo sina hofu ya kutekwa wala mtu kushangaa maisha ninayoishi siku tukikutana
Karibu Uswahilini kwetu Mabibo Beach
![]()
![]()
![]()
........
Shemela hupendi mtoto wangu anyonye hujui kunyonyesha ni njia nzuri ya uzazi wa mpangoMpaka lini
Habari yakoHeshima yko Sakayo wa T![]()
![]()
JamaanIkiisha top 10

Upotelee wapiiiiKweli ujue watu mnaoaminiana mnapeana no me nikipotea mumtafute lee