Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Na hivyo humu tupo watu tunajuani hadi viwanda tunavyoishiKweli ujue watu mnaoaminiana mnapeana no me nikipotea mumtafute lee
Kipimo kimojawapo cha urafiki ni pale unapovutiwa na mtu hata kwa mwandiko wake tu
Humu tunajaliana na kufarijiana pengine kuliko WhatsApp group za wana ndugu ambao unaweza kuwaambia "unaumwa" na wakauchuna tu
Naamini ni bora rafiki anayenijali kuliko ndugu wa damu asiyenithamini
.......
una dhambi ujue