Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sijui ndo alikuwa anakuzengea wewe wakati huo..... Manake sisi vidume tukitafuta mitetea utashangaa..... Waweza likuta dume linakuna nazi. Sasa wewe lidharau ulione bwege... Utashangaa.
Una uzoefu na haya mambo eeh! Kuna mtu sasa umempachika udada. Kumbe dume zima upo wakuna nazi. Ole wake yule jamaa akikudharau na kukuona bwege. Atakuta mtetea si wake ‍♂️‍♂️‍♂️
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom