dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
Hahahah ,nzur kamanda nyagei kwema huko??Habari yako mkuu faza mtoto
Hahahah ,nzur kamanda nyagei kwema huko??Habari yako mkuu faza mtoto
Ni kutokujikubali na kuwa na sera bora ndio maana hali iko hivyoAfrika yaani dah! Ni afadhali Mungu Akunyime mali kuliko kukunyima akili. Sisi Mungu katupa mali kibao lakini akili mh. Ndo maana jamaa wenye akili wanakuja na kusomba mali zetu siye tupo tumekaa tu...![]()
Cc aganzaLeeeeee...!!!
Anakuwa ni mchezaji mzuri kwenye mechi za kawaida kwenye big game anapotea kama Ozilshululu
Nimekuita mahali bhana

Umeongea jambo la moyoniNa hivyo humu tupo watu tunajuani hadi viwanda tunavyoishi
Kipimo kimojawapo cha urafiki ni pale unapovutiwa na mtu hata kwa mwandiko wake tu
Humu tunajaliana na kufarijiana pengine kuliko WhatsApp group za wana ndugu ambao unaweza kuwaambia "unaumwa" na wakauchuna tu
Naamini ni bora rafiki anayenijali kuliko ndugu wa damu asiyenithamini
.......
210kAisee
I missed you mama mchuchu..LUKA 12
32."Msiogope, enyi kundi dogo! Maana BABA yenu amependa kuwapa ufalme.
NAWATAKIA SIKU NJEMA, JUMAPILI YENYE BARAKA![]()
![]()
![]()
Hahahah ,nzur kamanda nyagei kwema huko??
Hmm..!! Wewe ni mwalimu? Comrade au ulishapitia ualimu/mwanajeshiAngalia nilipokoleza wino ni nomino
BTW huku ni kwema kabisa
Weekend inakwendajeAngalia nilipokoleza wino ni nomino
BTW huku ni kwema kabisa
Aisee, ila Asante kwa picha ya kijanaNakukubali sana, nilipewa task hiyo niifanye nikaifanya, sikujibu kwa wakati sababu nilikuwa na mizunguko
Kusema kweli mpenzi wa MunguYes sir
LipoHivi hilo jukwaa la 18+ lipo kweli?
Nzuri, Asante mama mchungaji uwe na jumapili njema yenye heri na Baraka teleNjema za uzima? Jumapili njema
Nimefanyaje tena shemelashululu
Sidhani kama alisikiaNimekuita mahali bhana