BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
ZABURI 461.Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu,msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso

ZABURI 46
We bagheshi wacha uchochezi.... Tumefanya reconciliation.Huu ukaka umeanza lini? Juzi juzi tu Lee si alikuwa halali kwa ajili yako? Au umeamua kubadilisha gia ya kuingilia?
Kama anafanya ujeuri mwambie ajiandae..... Tunamnyanganya binamu.tuheshimianeee huwezi muita Baba D wangu hivyo ujue Mama D ni wewe
Shululu usimsaidie bagheshi kufukua makaburi.... Makaburi mengine hayafukuliki.Mpaka Lee akamuonya
Unatafuta mke au vibarua?Mahari zao zikoje mkuu? Wanaweza kushika jembe au ni mayai kama Shunie wa getini Masaki?
Respect mkuu ...pamojaaTyping error mkuu..
Mimi na wewe ndugu.
Love bobKapitiwa tu bro msamehe nduguyo..
Si unajua kukosewa ni sehem ya maisha jombaa
Nakuonaaa nakuonaaa kipenzi rafikiWe bagheshi wacha uchochezi.... Tumefanya reconciliation.
Ndio nyumbani nini Shunie?Tewe napo ushawahi pasikia
We penda kukakaa porini utaona faida yakeBusara zako mkuu..
Makapuku forever..
Jf forever..
One love forever..![]()
Shemeji shemeji..... Halafu siwaelewi mjue.... Huu ushemeji wa kuvaliana kanga moja!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
shemeji una maneno wewee loh!
Ila una busara sana
Ushemeji wetu uache. We nenda ukahangaike na Shunie huko. Nasikia siku hizi amegeuka na kuwa dadako. Maajabu ya karne!Shemeji shemeji..... Halafu siwaelewi mjue.... Huu ushemeji wa kuvaliana kanga moja!
Anataka kupata uhakika tu huyo.Mimi sijamkula Mchungaji jamani. Msinisemee kha!
Mkuu za kuamshwa? ?Ushemeji wetu uache. We nenda ukahangaike na Shunie huko. Nasikia siku hizi amegeuka na kuwa dadako. Maajabu ya karne!
Mtu wa kusaidiana naye kupambana na maisha. Wote si matajiri kama wewe mkuuUnatafuta mke au vibarua?


