mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Sawa bwana.... Wacha nikuache na 'shemeji' yako kwa sababu wewe "una busara sana".......Shunie ni dadaangu kwa sababu sote tunatoka Tanga.Ushemeji wetu uache. We nenda ukahangaike na Shunie huko. Nasikia siku hizi amegeuka na kuwa dadako. Maajabu ya karne!
