Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,384
Mimi sijamkula Mchungaji jamani. Msinisemee kha!Watu kwa ujwaruuu
Munawakula mpaka wachungaji loh!
Mimi sijamkula Mchungaji jamani. Msinisemee kha!Watu kwa ujwaruuu
Munawakula mpaka wachungaji loh!
Anaenda Lushoto mara kwa mara kufanya nini?Kule hata mbuzi tu, ila uvumilie tu, safari za lushoto huwa haziishi, kwa mwezi lazima aende hata mara moja au mbili
Ulishika jembe ukaliangalia weeee halafu ukaliacha kama lilivyo. Mtanange ni kwenda nalo shambani tangu asubuhi mpaja saa nane au kumi jioni unapalilia nyanya. Ndiyo maana niliwakaribisha mje Koromije mje mjionee. Naona machale yaliwacheza na mumeo mkasepa mpaka leo sijawasikiame nashika jembe juzi nilivyoenda tanga nilishika jembe



Shemeji, mshangao wa nini tena. Ulitaka mi nisifundishwe neno?
Hiyo ya asubuhi mpaka sa 12 siwezi tena nitajifanya na ugonjwa umenishikaUlishika jembe ukaliangalia weeee halafu ukaliacha kama lilivyo. Mtanange ni kwenda nalo shambani tangu asubuhi mpaja saa nane au kumi jioni unapalilia nyanya. Ndiyo maana niliwakaribisha mje Koromije mje mjionee. Naona machale yaliwacheza na mumeo mkasepa mpaka leo sijawasikia![]()
Ila mabinti wa Kisambaa wanajua kupika,ukarimuHarafu mikate sasa,wanapenda sana
Asante shemeji. Mzinga unaodondosha asali hurinwa hata na vipofu ati! Pamoja sana...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
shemeji una maneno wewee loh!
Ila una busara sana
Ndio Amri iliyo kuuKupendana kumbe
HaaaaahaaaaHiyo ya asubuhi mpaka sa 12 siwezi tena nitajifanya na ugonjwa umenishika
Enzi hizi za Magu naona hata status ya upedeshee imeshuka. Mapedeshee yalikuwepo enzi za Mkwere bwana. Yanamwaga mapesa club tena in US $. Sasa upedeshee huu wa akina Lee huu mh! Mara dalali wa mademu hapa JF...Shemela umemalizana na nanina mkianza kutozwa hela na pedeshee lee mjue me ndio napokea
![]()
Sijaelewa. Slave kwa miaka 12 kivipi Madenge?![]()
12 Years A Slave
.......
Hahaha...Mimi nilikaa Sochi na Sinza wakati nahangaika na vitabu ila na kule Mlalo pia
Lushoto napapenda
Kuna baridi hatari na kijani kibichi cha kufa mtu
Shida ilikuwa ni Bus la Shambalai Wasambaa wakijaa wanaanza kuzungumza na mate kumiminika km mvua
.......



Kule nisha katiza maeneo machache..Mimi nilikaa Sochi na Sinza wakati nahangaika na vitabu ila na kule Mlalo pia
Lushoto napapenda
Kuna baridi hatari na kijani kibichi cha kufa mtu
Shida ilikuwa ni Bus la Shambalai Wasambaa wakijaa wanaanza kuzungumza na mate kumiminika km mvua
.......
Kuanzia Magamba, lukozi, Fyevyei mpaka mkongoroni unipotezi.mlalo vipiii
Ila huwa kuna swali najiuliza sana..Mimi nilikaa Sochi na Sinza wakati nahangaika na vitabu ila na kule Mlalo pia
Lushoto napapenda
Kuna baridi hatari na kijani kibichi cha kufa mtu
Shida ilikuwa ni Bus la Shambalai Wasambaa wakijaa wanaanza kuzungumza na mate kumiminika km mvua
.......
Huyo ni Lupita Nyong'oSijaelewa. Slave kwa miaka 12 kivipi Madenge?
Karibu mkuu...Najiunga na makapuku wenzangu tuliendeleze gurudumu, naomba kukaribishwa.